Kigogo2014 lazima awe mtu wa maana

Kigogo huyo kwiyoo
 
Huenda ni kweli,

Lakini Vero anaongea kwa mihemko zaidi hivyo habari zake sio za kuziamini sana
Ila ukimfatilia kuna kitu.
Mfano polisi walivyo toa taarifa ya kutoa donge nono kwa atakaye toa taarifa ya kigogo.
Veronica france alisema huo ni mchezo wa kigogo nasi serikali. Baada ya mda taarifa ikafutwa
 
Ila ukimfatilia kuna kitu.
Mfano polisi walivyo toa taarifa ya kutoa donge nono kwa atakaye toa taarifa ya kigogo.
Veronica france alisema huo ni mchezo wa kigogo nasi serikali. Baada ya mda taarifa ikafutwa

Haki ya nani kichwa changu kizito, unajua sijakuelewa kabisa hapo hasa sentensi ya mwisho mkuu,
 
Ila ukimfatilia kuna kitu.
Mfano polisi walivyo toa taarifa ya kutoa donge nono kwa atakaye toa taarifa ya kigogo.
Veronica france alisema huo ni mchezo wa kigogo nasi serikali. Baada ya mda taarifa ikafutwa
Kwani wale ni police au ni wahuni tu maskani
 
Hizi sifa unazo nini mkuu?πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
Weee hapana. Kigogo ni level nyingine kabisa. Ana IQ kubwa sana . Waisrael walisanda kumtafuta. Mimi wakitaka kunikamata wanamfuata Max tu dakika sifuri.

Kigogo aliikatakaa JF mpaka kesho na ana ugomvi na kina Max anadai wanauza watu humu JF. Japo naamini kuwa si kweli
 
Weee hapana. Kigogo ni level nyingine kabisa. Ana IQ kubwa sana . Waisrael walisanda kumtafuta. Mimi wakitaka kunikamata wanamfuata Max tu dakika sifuri.

Kigogo alikatakaa JF mpaka kesho na ana ugomvi na kina Max anasema wanauza watu humu JF.

Kigogo anajua propaganda hilo nalikubali,
zaidi najua kigogo ni kigogo haswa, marafiki zake ni vigogo, hapa umenielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…