Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #81
Kigogo ni Jay z
Mkuu unajua watu wanataka kutoboa maisha lakini?😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigogo ni Jay z
Huyo Ni Kama lissu
anavyoeleza Ni wale wale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii kumtafuta Kigogo kwa Picha ya Katuni ya Jay Z ni sawa na kumtafuta Shetani kwa Picha ya Yesu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kwel mkuu ona ilo daraja la milion 7.8Sasa mkuu kwa mambo kama haya tunatakiwa tukae kimya? Unajua baadhi ya watu wanamuona mbaya kigogo ila jamaa anafungua macho waliolala View attachment 1736248View attachment 1736249
Kigogo alikatakaa JF mpaka kesho na ana ugomvi na kina Max anasema wanauza watu humu JF.
Hiyo post hajawahi iandika ZZK, ni Musiba na genge lake waliedit post ya ZZK wakaisambaza, ni mambo ya hovyo tu.Serikali kama wanamtafuta huyo Kigogo basi wamfuate Zitto awape Ushahidi wa huyo aliyentaja kuwa ndiye mbaya wao!
Uongozi wa JF uje hapa kutupa uhakika kuhusu hii habari.This is a very serious allegation coming out from a person of KIGOGO"S stature!!! Ndio maana wale members original wa JF wengi wamesepa kwa kuogopa kuuzwa na wakina Max?
Chichichichid benzeee,noma sana'Niliwahi kuandika hapa facebook'
This means mleta uzi kacopy ishu yake ya fb na kuipaste hapa bila proof reading. Also nakupa ujanja ili huko fb uzidi kuwateka.
Mfano unasema anaonekana anaidai serikali basi unainsert screenshots zinazoonyesha hivyo. Na sehemu unazoamini zinahitaji picha unaingizia.
Katika uwasilishaji makala, makala yenye picha inavutia kuliko ambayo ni mwendo wa neno kwa neno mpaka mwisho.
Anyway, uzito wa mdundo wa indi amka na denzi za Sancho,
Ni sawa na ubishi wa goli kutoka kwa mbishi pancho,
Mashughuli toka utoto toka time ya msoto, toka studio joto sahau kuhusu AC...
Huna uwezo wowote ule wa kuwafundisha TISS mambo ya intelijensia NARUDIA HUNA!Wao wasifundishwe ni kina nani?
Yeyote mwenye hekima hufundishwa mzee hata kama jambo analijua haimaanishi analijua kwa namna zote.
Kuhusu kucheza na akili za wengi, hapa nakataa mpaka mwisho, unajua Kigogo ametukana sana hasa kipindi hiki.
Mimi ni mtetezi wa uhuru wa kujieleza lakini sio wa kiwango kile cha kuvunja utu na heshima ya mtu
Hiyo ni si signature tu unaweza kufanya edit Kwa jinsi utakavyoamuaExactly kabisa kigogo yumo ndani ya Serikali.
Tena si mmoja ni wengi