Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Hivi inakuaje mkoa uliozungukwa na Congo na Burundi kuwa chini vile? Singida wasemaje?
Nilipata fursa ya kutembelea mji wa Kigoma wiki iliyopita nikaanza na Nyakanazi, Kibondo, Kasulu, Manyovu na Kigoma mjini.
Kuanzia kibondo mpaka kasulu ni vumbi la kutosha na kuna Kilometer Nyingi saana, nilivyofika kasulu nikapata muda wa kutulia kidogo, aisee hapa pamechangamka saana ninatabiri miaka 10 inayokuja, kasulu patachangia pato kubwa kulio Kigoma mjini, itakua sawa sawa na kahama vs shinyanga mjini au katoro vs geita mjini.
Nikashuka Kigoma mjini, aisee huu mkoa ni mgumu sana vitu bei ziko juu, kisingizio ni umbali kutoka wanapochukulia unajiuliza kwanini kasulu vitu ni bei nzuri?..
Kulikua kuna soko wanalitegemeaa linaitwa Mwanga wamevunja wafanyabiashara wegawanyika wengine wapo stand na wengine wapo barabarani Kama unaelekea hospital ya mkoa,
Nikakaa sehemu moja kufanya utafiti, aisee mtu anaweza Kukaa siku nzima bila kuuza biashara yaaani siku nzima amepigwa doro tu.
Ninaona miaka ijayo hata kibondo panaweza kuja vizuri kuliko mjini.
Niwaulize wakazi wa huko kigoma ukiachana na sabuni za mawese, vitenge kuna fursa kwa mkoa wa Kigoma?
Nilipata fursa ya kutembelea mji wa Kigoma wiki iliyopita nikaanza na Nyakanazi, Kibondo, Kasulu, Manyovu na Kigoma mjini.
Kuanzia kibondo mpaka kasulu ni vumbi la kutosha na kuna Kilometer Nyingi saana, nilivyofika kasulu nikapata muda wa kutulia kidogo, aisee hapa pamechangamka saana ninatabiri miaka 10 inayokuja, kasulu patachangia pato kubwa kulio Kigoma mjini, itakua sawa sawa na kahama vs shinyanga mjini au katoro vs geita mjini.
Nikashuka Kigoma mjini, aisee huu mkoa ni mgumu sana vitu bei ziko juu, kisingizio ni umbali kutoka wanapochukulia unajiuliza kwanini kasulu vitu ni bei nzuri?..
Kulikua kuna soko wanalitegemeaa linaitwa Mwanga wamevunja wafanyabiashara wegawanyika wengine wapo stand na wengine wapo barabarani Kama unaelekea hospital ya mkoa,
Nikakaa sehemu moja kufanya utafiti, aisee mtu anaweza Kukaa siku nzima bila kuuza biashara yaaani siku nzima amepigwa doro tu.
Ninaona miaka ijayo hata kibondo panaweza kuja vizuri kuliko mjini.
Niwaulize wakazi wa huko kigoma ukiachana na sabuni za mawese, vitenge kuna fursa kwa mkoa wa Kigoma?