Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Nikajua tunaiongelea Kasulu kwa ujumla wake!Mimi ni mzaliwa WA huko na nimefanya miradi mingi huko naelewa niachokwambia.
Nimekwambia tembelea maeneo ya kambi ya wakimbizi ya mtendeli iliyofungwa uone uchumi Kwa sasa ukoje.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo pointi unayosimamia ni kuwa Kasulu "hakuna shughuli za kiuchumi"?