Kigoma mjini kuna fursa za maisha kweli? Naiona Kasulu ikiipita kigoma mjini

Kigoma mjini kuna fursa za maisha kweli? Naiona Kasulu ikiipita kigoma mjini

Kigoma ..........ni mkoa mgumu sana ...full vumbi jekundue + ushirikina

Ninachofurahia tu ni karanga na mawese
[emoji28][emoji28][emoji28]
asset.JPG
 
Kigoma ni kwa makamu.

Naye naona ana vinasaba vya Mwalimu Nyerere, kwamba Tanzania ni ndugu.

Aangalie asije kutuachia udongo mwekundu barabarani badala ya lami.

Asipambane kuruka hewani tu, historia itamhukumu kesho kama ben.

Achukue mifano ya akina pesambili ambao walipambania mikoa yao.

Nategemea kutembelea Kigoma 🤣🤣
Huwezi kuwa serious
 
Miaka 10? Wakati kwasasa kasulu TC ndio inayoongoza...!

Nadhani uwepo wa mashirika ya kidunia na mzunguko mkubwa wa kibiashara na hawa wageni wanaokuja na kutoka ....

Kasulu ina hotel kubwa na nzuri sana
View attachment 2363067
Heeh, Kasulu ina Hotel kubwa na nzuri kuliko Kigoma Manispaa!!!??? Hauwezi kuwa serious.
HillTop, Tanganyika Hotel, Sun Set, Green View, Mwitongo n.k, nitafutie mfano wa hizo Hotel pale Kasulu.
 
Nilichogundua wengi wanaochangia huu uzi hawajawahi kufika Kigoma, wanachangia kwa ushabiki au stori za kuhadithiwa vijiweni.

Kigoma Manispaa ina fursa nyingi mno za kibiashara na shughuli kuu ya kiuchumi ni biashara na uvuvi, zingatia kuwa kuna stesheni ya reli na bandari inayohudumia nchi tatu (Congo DR, Burundi na Zambia)
Manispaa ya Kigoma ni moja kati ya manispaa chache sana nchini zilizofanikiwa kujenga barabara nyingi za mitaani kwa kiwango cha lami na zaidi ya yote Kigoma ni mji wa kitalii (Makumbusho ya Dr. Living Stone na hifadhi za Gombe na Mahale) na ndo sababu utakutana na mamia ya watalii ndani ya mji huu.

Anayesema Kigoma hakuna mzunguko wa pesa hapajui Kigoma au ana chuki binafsi na watu wa Kigoma.
 
Nilichogundua wengi wanaochangia huu uzi hawajawahi kufika Kigoma, wanachangia kwa ushabiki au stori za kuhadithiwa vijiweni.
Kigoma Manispaa ina fursa nyingi mno za kibiashara na shughuli kuu ya kiuchumi ni biashara na uvuvi, zingatia kuwa kuna stesheni ya reli na bandari inayohudumia nchi tatu ( Congo DR, Burundi na Zambia)
Manispaa ya Kigoma ni moja kati ya manispaa chache sana nchini zilizofanikiwa kujenga barabara nyingi za mitaani kwa kiwango cha lami na zaidi ya yote Kigoma ni mji wa kitalii (Makumbusho ya Dr. Living Stone na hifadhi za Gombe na Mahale) na ndo sababu utakutana na mamia ya watalii ndani ya mji huu.
Anayesema Kigoma hakuna mzunguko wa pesa hapajui Kigoma au ana chuki binafsi na watu wa Kigoma.
Fanya analysis mwenyewe kwa namba hizo
 

Attachments

  • Screenshot_20220921-011904.png
    Screenshot_20220921-011904.png
    102 KB · Views: 46
Mkoa wa kigoma kibiashara unabebwa na kasulu, na mkoa wa ruvuma unabebwa na mbinga, mtwara unabebwa na masasi, mkoa wa shinyanga unabebwa na kahama, Iringa inabebwa na mafinga,

Inatafakarisha sana hoja hii. Nawaza kwa kuchangamka au kwa vigezo gani? Kuna baadhi ya mikoa kweli inabebwa na Wilaya zake lakini kwa sababu maalum. Kwa mfano Kahama shughuli za madini ni kubwa hivyo mzunguko ni mkubwa sawa na Katoro kwa Geita ingawa siyo sana.

Pia Mafinga kwa Iringa kwa sababu ya Chai na mazao ya Misitu, Tunduma kwa Songwe kwa sababu ya Boarder. Lakini najaribu kuwaza Masasi na Mtwara kwa sababu ipi? Ile junction au wale wafanyabiashara na zile pilika pilika?

Haina sana impact kwani ni biashara ambayo haina makusanyo makubwa. Ukiniambia Tandahimba japo haitajwi sana na wala mji wake siyo mkubwa, lakini wilaya ile ndiyo yenye watu wenye pesa nyingi mkoa mzima wa Mtwara.

Wana vijiji vikubwa na vyenye watu wenye hela ingawa huwezi kujua hilo. Inatajwa vijiji kama Nanyangha, Namikupa, Mahuta kuna watu wana pesa na ofcourse wamefungua biashara Masasi na Mtwara. Mwisho ni takwimu za makusanyo ya kodi ndiye msema kweli.

Mafinga imewahi kuizidi Iringa mara nyingi lakini Masasi haijawahi kuizidi Mtwara, ila Mtwara huzidiwa na Tandahimba. Ziwekwe data za miji hiyo iliyotajwa kwa mfano Geita vs Katoro, Mtwara vs Masasi, Kahama vs Shinyanga, Kasulu vs Kigoma na pia Makambako vs Njombe!
 
Fanya analysis mwenyewe kwa namba hizo

Takwim hizi tunaweza kuzipata kwa miji mingine iliyofananishwa na Wilaya zake? Kwa mfano Shinyanga MC vs Kahama MC, Iringa MC vs Mafinga TC, Mtwara MC vs Masasi TC, Njombe TC vs Makambako TC, Geita TC vs Katoro Town!
 
Takwim hizi tunaweza kuzipata kwa miji mingine iliyofananishwa na Wilaya zake? Kwa mfano Shinyanga MC vs Kahama MC, Iringa MC vs Mafinga TC, Mtwara MC vs Masasi TC, Njombe TC vs Makambako TC, Geita TC vs Katoro Town!
Kwa hiyo doc wameweka halmashauri zote kwa mikoa, hivyo kama kufananisha ni wewe mwenyewe unawweza fananisha
 
Fanya analysis mwenyewe kwa namba hizo
Mkuu usichokijua ni kwamba Kasulu iko juu Kwasababu ya Zile kambi za wakimbizi!

Haya mashirika yanachangia Sana kuweka hela kasulu siku zikifungwa mambo yatabadirika Sana.

Kwasababu ninaweza kukuuliza ni uzalishaji gani unaifanya kasulu iwe juu haitanipa Jibu. Asilimia kubwa pale ni uchuuzi. Siku Ile kambi ikifungwa kasulu itadoda Sana.

Kambi ya mtendeli imeshafungwa nenda ukaone Hali ya pale karibu na kambi palivyododa.

Ningekuona Una hoja kama ungeleta shughuli za kiuchumi zilizopo kasulu na shughuli za kiuchumi zilizopo kigoma mjini. Shughuli za kiuchumi ndio huleta sustainability ya uchumi WA sehemu husika.

Kingine, lile soko la Kigoma (Mwanga) limevunjwa kupisha ujenzi na muda si mrefu wafanyabiashara watarudi tena.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu usichokijua ni kwamba Kasulu iko juu Kwasababu ya Zile kambi za wakimbizi!

Haya mashirika yanachangia Sana kuweka hela kasulu siku zikifungwa mambo yatabadirika Sana.

Kwasababu ninaweza kukuuliza ni uzalishaji gani unaifanya kasulu iwe juu haitanipa Jibu. Asilimia kubwa pale ni uchuuzi. Siku Ile kambi ikifungwa kasulu itadoda Sana.


Kambi ya mtendeli imeshafungwa nenda ukaone Hali ya pale karibu na kambi palivyododa.


Ningekuona Una hoja kama ungeleta shughuli za kiuchumi zilizopo kasulu na shughuli za kiuchumi zilizopo kigoma mjini. Shughuli za kiuchumi ndio huleta sustainability ya uchumi WA sehemu husika.

2
Kingine , lile soko la kigoma (Mwanga) limevunjwa kupisha ujenzi na muda si mrefu wafanyabiashara watarudi tena.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nikusahihishe:

1. Najua wazi kwanini Kasulu ipo juu.

2. Unachosema kwamba Kasulu hakuna shughuli za kiuchumi?
 
Mkuu usichokijua ni kwamba Kasulu iko juu Kwasababu ya Zile kambi za wakimbizi!

Haya mashirika yanachangia Sana kuweka hela kasulu siku zikifungwa mambo yatabadirika Sana.

Kwasababu ninaweza kukuuliza ni uzalishaji gani unaifanya kasulu iwe juu haitanipa Jibu. Asilimia kubwa pale ni uchuuzi. Siku Ile kambi ikifungwa kasulu itadoda Sana.


Kambi ya mtendeli imeshafungwa nenda ukaone Hali ya pale karibu na kambi palivyododa.


Ningekuona Una hoja kama ungeleta shughuli za kiuchumi zilizopo kasulu na shughuli za kiuchumi zilizopo kigoma mjini. Shughuli za kiuchumi ndio huleta sustainability ya uchumi WA sehemu husika.


Kingine , lile soko la kigoma (Mwanga) limevunjwa kupisha ujenzi na muda si mrefu wafanyabiashara watarudi tena.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa nilivyoona pale Mwanga hapawezi kujengwa leo wala kesho, itachukua miaka mitano mpaka pale pajengwe Mkuu, naona watu wamegawanyika wengine wameenda stand mpya wengine wamebaki hapo
 
Nilichogundua wengi wanaochangia huu uzi hawajawahi kufika Kigoma, wanachangia kwa ushabiki au stori za kuhadithiwa vijiweni.
Kigoma Manispaa ina fursa nyingi mno za kibiashara na shughuli kuu ya kiuchumi ni biashara na uvuvi, zingatia kuwa kuna stesheni ya reli na bandari inayohudumia nchi tatu ( Congo DR, Burundi na Zambia)
Manispaa ya Kigoma ni moja kati ya manispaa chache sana nchini zilizofanikiwa kujenga barabara nyingi za mitaani kwa kiwango cha lami na zaidi ya yote Kigoma ni mji wa kitalii (Makumbusho ya Dr. Living Stone na hifadhi za Gombe na Mahale) na ndo sababu utakutana na mamia ya watalii ndani ya mji huu.
Anayesema Kigoma hakuna mzunguko wa pesa hapajui Kigoma au ana chuki binafsi na watu wa Kigoma.
Mkuu sio kweli, mzunguko ni mdogo nimekutana marafiki zangu ni watumishi hapo maweni hospital, wakaniambia sio kwamba wanashindwa kufungua biashara, tatizo mkoa ni mgumu saana
 
Nikusahihishe:

1. Najua wazi kwanini kasulu ipo juu.

2. Unachosema kwamba kasulu hakuna shughuli za kiuchumi?
Mimi ni mzaliwa wa huko na nimefanya miradi mingi huko naelewa niachokwambia.

Nimekwambia tembelea maeneo ya kambi ya wakimbizi ya mtendeli iliyofungwa uone uchumi Kwa sasa ukoje.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom