inamana aliyoyafanya umishayasahau etieeumejuaje Kama anateseka!?
Ndo nini?Mzilankende 😂😁
kufa ukamuone anavyotesekaumejuaje Kama anateseka!?
Wewe utakuwa lijinga sana. Serikali imesema ni hiari let it be. Mimi sichomi kabisa hata iweje, let us see zombi watakvyozaliwa. Hii chanjo tatizo lake ni new technology, hakuna anayefahamu madhara yake.Wabongo wengi ni vilaza sana.
Wabongo wengi ni vilaza sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sumu aliyoiacha Mzee Baba itachukua miaka kuisha
Wewe huna akili,wapi nimesema kuhusu kuchoma kama ni lazima? Hata hivyo serikali imetangaza vituo maalum(hospitali na vituo vya afya) vitakavyotumika kwa wale wanaotaka kuchanjwa na sio shuleni isitoshe hiyo chanjo haitolewi kwa watoto wa shule sasa kama watu wangekuwa makini wangezingatia hayo ,hilo ndio kusudio langu lakini kutokana na ujinga uliowajaa wapuuzi kama wewe anakuja mtu anazua uongo na watu wanapatwa na taharuki bila sababu.Wewe utakuwa lijinga sana. Serikali imesema ni hiari let it be. Mimi sichomi kabisa hata iweje, let us see zombi watakvyozaliwa. Hii chanjo tatizo lake ni new technology, hakuna anayefahamu madhara yake.