Kigugumizi cha nini kwenye Uraia Pacha? Shuhudia unavyowakwamisha Watanzania kuwekeza nyumbani. Miradi, mijengo ya maana ingeota kama uyoga

Halafu inapunguza uzalendo, watawala watafisadi umma na kukimbilia kwingine. Kuna wageni watakuja TZ kwa mwanya huo huo na kuifanya nchi iwe shamba la bibi.
Hames kazai ni muafghan na mmarekani kala nchi ya afghanistan sasa huyo yupo zake united states of amrica anaenjoy.
Wabunge wengi wa afghanistan walikuwa na urai pia wa ujerumani sasa wapo europe wanajienjoy.

Dual nationality ni kwa manufaa ya watawala but never sie bodaboda.
 
Nan sio Kenya pekee, hata Rwanda taifa dogo wameukabari na majirani wote wanaotuzunguka, sisi bado tuko fofofo tu tunapambana na kufukua vifusi vy amagaorofa kwa wiki nzima na siku za ziada

Hao majirani zetu wao wana nini cha ziada kuukubari na sisi hatuutaki, sijui hadhi maalumu malafyale kitu gani? Serikali kama ina nia njema na watu wake - inabidi iaxchie fursa kila corner ikiwemio hiyo uraia pacha. Zama za old stone age zinjathropasi, msolopagazi na ndugu zake wa maji maji- Kinjekitile hakuna tena. Kwa sasa ni fursa tu ndio inaangaliwa.
 
Halafu inapunguza uzalendo, watawala watafisadi umma na kukimbilia kwingine. Kuna wageni watakuja TZ kwa mwanya huo huo na kuifanya nchi iwe shamba la bibi.
Mbona huko Kenya na kwingineko haya uliyosema hayapo? ay utafungulia ti pandola boxi bila masharti, itifaki, mila a destruri? ni Madhara gani yameonekana mpaka sasa kwa ile Serikali ya kikwete kuwapa Warundi LAKI 5 Uraia wa Tanzania miaka ya utawala wake?
 
Halafu inapunguza uzalendo, watawala watafisadi umma na kukimbilia kwingine. Kuna wageni watakuja TZ kwa mwanya huo huo na kuifanya nchi iwe shamba la bibi.
katika dunia ya leo, ukitenda kosa kuna extradition, na bora uibe pesa uweke hapa africa ukipeleka nje zitarudi kirahisi sana. angalia, Kenya, rwanda, ghana, nigeria, south, angola, Uingereza, Marekani, Canada etc wameathirika na nini?
 
Bandiko Kuntu sana... labda wataamka, siku wakitoka madarakani ndio watakumbuka kuupigania huo uraia pacha- nadhani.
 
Bandiko Kuntu sana... labda wataamka, siku wakitoka madarakani ndio watakumbuka kuupigania huo uraia pacha- nadhani.
wanashindwa kujiuliza, Canada ambayo ipo magharibi, UIngereza, ufaransa, nchi kibao za francophone huko africa magharibi, Marekani ambayo ina maadui lukuki, wana uraia pacha. na dunia ya leo Marekani anafahamu kuwa kesho iran itarusha makombora au Urusi itapiga ukrain wakati akiwa washington anakunywa kahawa. ulimwengu tuliofikia tunahitaji watu mara chache sana kutulinda, zaidi ni mitambo ambayo africa hatuna, sisi bado tupo kwenye ujima. simu zote hatuundi hapa, computer zote, tech zote hadi internet tunategemea tech zao, wakiwa kwao wanatuchungulia hadi hawahitaji kugharimia kulipa mamluki waishi hapa, wanahitaji wachache tu, sasa tunacholinda ni nini?

halafu, hivi ukifungua milango watu wakawekeza hapa, wakajenga hapa hiyo ardhi mnayoilinda kwani wataipakiza kwenye ndege? si kila kitu kinahitaji kutungiwa sheria tu? nchi zote zenye uraia pacha zimefanya vizuri kuliko zinazolinda. na diaspora wengi wamepata uraia kule ila pesa kibao wanaletea ndugu hapahapa bongo, wanatibu ndugu ambao serikali imeshindwa kuwapa hata bima. na waliomba uraia pacha kwa ajili ya kutafuta maisha tu ila nyumbani ni nyumbani hata iweje.
 
Viongozi wengi Tanzania Wana upeo mdogo sana;ukitaka kuwabaini uwezo wao rejea sababu za kukwama katiba mpya ni zipi!!
Hawataki Watanzania wawe na Urais pacha na uku wao na familia zao wanamiliki mijrngo ughaibuni!!
Primitive intelligence thinking!!
 
Bandiko lako la kwanza na hili nimeyapenda sana, ubarikiwe kwa maoni uliyotopa humu, labda wenye madaraka watakusikia. Hata hao Israel wenye uraia pacha wako vitani kila siku na Hamasi, Lebanoni na akina Ayatollah na bado wanaukubari huo Uraia pacha, serikali amkeni, acheni mtima nyongo kwa ndugu zetu huko nje ya nchi na ili hali misaada munawaomba kila siku na kupewa. Wao wakiowaomba hiyo uraia pacha, hamtaki, nyie mkiwaomba misaada na michango wanatoa. Kwa nini mumekuwa na masharti mengi ili hali wao huwa hawawapi hayo masharti wanapo wasidiaga?
 
Tatizo lako ni moja hueleweki .
Tangu nimesikia umekuja hata wale watu ninaowafahamu nimewataadharisha wasikupe engagement ya aina yoyote maana leo uko moto kesho baridi.
Duh。。。!, kumbe ni wewe umenisagia kunguni!。All and all,nimekuja for a private visit,US is my second home,wife,kids,family ni US subjects, hivyo lengo la safari limetimia,with or without your connections。
thanks。
p
 
Umakini unahitajika kuwaingiza kwenye uchumi wa Nchi watu wenye uwezo kuliko wenyeji na wana uraia wa Nchi zingine si salama kwa Nchi husika.
Mbona bado tunaibiwa mapesa kibao na malisilimali kibao na raia wasio wa inchi singine?
Eti kulinda usarendo, usarendo upi?
Usarendo unaovunjwa na wenyesi wa siyo diaspora.
 
Umeongea ukweli mkuu
mtu wa nje atakuelewa vizuri sana
Baishara au majengo tutayojenga sio yetu kwani wengi mda umeenda bali kuna watoto na ndugu watakaorithi
Kufa lazima na hatutaishi milele ila tunajua jua limeanza kuzama kwa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…