Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Weeeekwrnye suala la mabehewa mmetuumiza Sana mradi wetu ni mkubwa Sana wa trillions of money hatukutakiwa kufanya vitu vya mzaha ety kuanza na mitumba hafu mnatuletea mabehewa ya hovyo kiasi hiki mradi utakaodumu miaka 100 ijayo kama ujenzi umegharimu 16 trillion mnashindwa kweli kuongeza trillion 2 zaidi na sisi tukawa na kautalii ketu kwa nn mnatutesa wananchi sisi ni wa vitu vibaya tu kweli?
Jamaa wameshavuta chaokwrnye suala la mabehewa mmetuumiza Sana mradi wetu ni mkubwa Sana wa trillions of money hatukutakiwa kufanya vitu vya mzaha ety kuanza na mitumba hafu mnatuletea mabehewa ya hovyo kiasi hiki mradi utakaodumu miaka 100 ijayo kama ujenzi umegharimu 16 trillion mnashindwa kweli kuongeza trillion 2 zaidi na sisi tukawa na kautalii ketu kwa nn mnatutesa wananchi sisi ni wa vitu vibaya tu kweli?
Symbion amelipwa mabilioni bila kufuata utaratibu, kwa hiyo fedha zipokwrnye suala la mabehewa mmetuumiza Sana mradi wetu ni mkubwa Sana wa trillions of money hatukutakiwa kufanya vitu vya mzaha ety kuanza na mitumba hafu mnatuletea mabehewa ya hovyo kiasi hiki mradi utakaodumu miaka 100 ijayo kama ujenzi umegharimu 16 trillion mnashindwa kweli kuongeza trillion 2 zaidi na sisi tukawa na kautalii ketu kwa nn mnatutesa wananchi sisi ni wa vitu vibaya tu kweli?
kweri kabisa...shida hoja imeletwa na mpumbavu ....ana jina kama mliwo wa sefuria imedondoka....gwangwalaaaaaaaaah!!!!Ajibiwe kwa hoja na sio vihoja
Hapo sasa!!, ukifanya uchunguzi kwenye majina ya watu, hasa wasomi wa miaka kati ya sabini na themanini, unaweza kutengeneza ile kitu wanaita "Bongo movie". 😀 😀 😀 😀Huyo ni mwizi na mnafiki. Kwanza Baba yake siyo Kigwangala bali ni Bagalile. Aliiba jina la Hamus Kigwangalaaliyekuwaamechaguliwa kwenda kysoma Kigoma...
Kigwa unajitekenya na kucheka mwenyeweee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used”
Amesema “Hili behewa moja (tena used) limenunuliwa kwa sh ngapi? Tumeambiwa yapo haya mabehewa 54, yamenunuliwa kwa us$ 59mn. Kwa hiyo behewa moja ni us$ 1,092,592 ambayo ni sawa na 2.57bn! Hivi hizi ni taarifa za kweli ama? Yamekuja 14 ya awali, bado 45. Kwa nini wametununulia used?”
View attachment 2435979
Picha aliyo ambatanishaAkijibu swali la mdau mmoja aliyesema kuwa mabehewa hayo ni mapya, Dr. kigwangalla amesema “Ulipata Bahati ya kwenda kuyaona Kwa karibu? Kwa taarifa rasmi nilizonazo, walichelewa kuweka order ya mabehewa, hivyo wakalazimika kuchukua hayo ya zamani sema yamefanyiwa refurbishment/ pimping /facelift kidogo”
Kigwangalla amesema "Mama hahusiki kwenye ununuzi wa mabehewa, hao ni watu wetu wa TRC tu. Na Ndiyo maana tunahoji kwa Uhuru kabisa! Watoe majibu. Najua mama yuko na sisi, tunachofanya ni kumsaidia kazi ya kuwawajibisha watu wajanja wajanja! Peke yake hawezi kufanya yote haya!"
View attachment 2436089
Dk Hamisi Andrea Kigwangalla alizaliwa Agosti 7, 1975 mkoani Kigoma. Baba yake mzazi Nasser Kigwangalla alikuwa mfanyakazi wa benki na baadaye mwandishi wa habari, huku mama yake mzazi, Bagaile Lumola akiwa mwalimu na baadaye akaingia katika siasa ndani ya CCM.
Baba na mama wa kijana huyu ni “Wanyamwezi” wa Tabora kwa asili, na kuzaliwa kwa ‘Kigwa’ mkoani Kigoma kulitokea kwa vile wazazi wake wote walikuwa waajiriwa huko.
Kigwangalla alitumia sehemu ya maisha yake ya utotoni katika maeneo ya Goweko na Mlimani yanayopatikana Wilaya ya Uyui mkoani Tabora na alisoma elimu ya sekondari katika Shule ya Sekondari Kigoma kidato cha kwanza mpaka cha nne.
Baadaye alijiunga kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Shinyanga (Shy Bush) akichukua mchepuo wa PCB (Physics, Chemistry, Biology). Mwaka 1999 alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako alichukua masomo ya udaktari wa binadamu na alihitimu shahada yake mwaka 2004.
Watu waliosoma na Kigwangalla pale ‘Shybush’ na hata chuo kikuu, wanamtazama kama kijana wa Kitanzania mwenye juhudi, anayependa kujisomea, anayependa uongozi wa kujitolea na mwanamichezo mahiri.
Kwa sasa ni Mbunge wa Nzega Vijijini kupitia chama cha mapinduzi (CCM)
Kama alilitumia jina la mtu basi atakuwa amelitendee haki sanaHuyo ni mwizi na mnafiki. Kwanza Baba yake siyo Kigwangala bali ni Bagalile. Aliiba jina la Hamus Kigwangalaaliyekuwaamechaguliwa kwenda kysoma Kigoma....
Inawezekana kukawa na cha kuhoji maana serikali zetu always bila ya uongo hatuendi. Lakini, kuna haja gani ya kusema mama hahusiki?Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used”...
Ajibiwe kwa hoja na sio vihoja
Behewa moja jipya bei yake ni TSh 200 million au Rs 2.5 million au TSh 200,000,000. Kama ni kweli tumeuziwa behewa moja kwa TSh 2.57 billion basi tutakuwa tumepigwa mara 10. Yaani tujamaa tumeongeza sufuri moja kwenye 200,000,000. Simple as that. Hii ni ngumu kuamini ikawa kweli. Yaani kila behewa wapige TSh 1.8 billion. Kwa behewa 54 watakuwa wameweka kibindoni TSh 100 billion. Hilihaliwezi kuwa kweli.Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used”
Amesema “Hili behewa moja (tena used) limenunuliwa kwa sh ngapi? Tumeambiwa yapo haya mabehewa 54, yamenunuliwa kwa us$ 59mn...
Muhimu pia ijulikane hiliNani Ali oda hayo mabehewa? Oda yake iliwekwa wakati gani?
Kiukweli hapa inabidi waache janja janja tumepigwa kitu kizito yaani mtumba hivi wametuonaje?Mbunge wa Nzenga Vijijini Dr. Hamisi Kigwangalla kupitia mtandao wa twitter amehoji kwanini Serikali imenunua mabehewa “used”..
Kigwangala yupi ety??Uzuri wa Kigwangalla hatakagi ujinga