OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #221
Kuvunja mkataba wa hili garasa ni bei gani wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha mwenyeweKumekucha [emoji28][emoji28]
Upepo umeguekaMhasibu njoo unaitwa huku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ule uzi wa Takwimu uwepo wako muhimu sana kutoa updates kama unavyotoa hapa au wakuuu Tate Mkuu Shadeeya na Dr Matola PhD mnasemaje ?Kuvunja mkataba wa hili garasa ni bei gani wakuu
Mlete huku.Ule uzi wa Takwimu uwepo wako muhimu sana kutoa updates kama unavyotoa hapa au wakuuu Tate Mkuu Shadeeya na Dr Matola PhD mnasemaje ?
Afu nawe kumbe una upimbi flani hivi kama asili ya timu yakoIle nguvu za kutoa updates katika uzi wa Kibu D Vs Mayele sasa ramsi nahamishia huku majeshi .
Cc : Shadeeya Tate Mkuu Dr Matola PhD ukikaidi utapigwa2
Kwenye maswala hayo nakukubaliIle nguvu za kutoa updates katika uzi wa Kibu D Vs Mayele sasa ramsi nahamishia huku majeshi .
Cc : Shadeeya Tate Mkuu Dr Matola PhD ukikaidi utapigwa2
Huku inabidi tuweke kambi kabisa, maana Aziz Ki anakwenda kuwaaibisha.Ile nguvu za kutoa updates katika uzi wa Kibu D Vs Mayele sasa ramsi nahamishia huku majeshi .
Cc : Shadeeya Tate Mkuu Dr Matola PhD ukikaidi utapigwa2
Aziz Kii kwenye kuamua matokeo, yuko vizuri sana. Naamini mtoa mada huko aliko atakuwa anaugulia tu maumivu.Ile nguvu za kutoa updates katika uzi wa Kibu D Vs Mayele sasa ramsi nahamishia huku majeshi .
Cc : Shadeeya Tate Mkuu Dr Matola PhD ukikaidi utapigwa2