dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
nope,najaribu tu kukumbusha tu utoe kile kilichopo jichoni mwako ndo uone kilichomo kwenye jicho la mwenzioKwa hiyo hao ndio wanamfanya Ki aishie kutema mate uwanjani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nope,najaribu tu kukumbusha tu utoe kile kilichopo jichoni mwako ndo uone kilichomo kwenye jicho la mwenzioKwa hiyo hao ndio wanamfanya Ki aishie kutema mate uwanjani?
Wewe umekuja leo humu? Pia kwani lazima niseme mimi, mbona mmesema sananope,najaribu tu kukumbusha tu utoe kile kilichopo jichoni mwako ndo uone kilichomo kwenye jicho la mwenzio
Inaonekana kuhusu Chama upo tayari kwa loloteWakati mwingine kataeni kushindanishwa na Chama, utapotea wewe na mpira wako
Naomba unionyeshe ushahidi kama thamani ni 400m wapi wameandika ama kiongozi Gani wa yanga kasema usajiri ni 400Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Mkuu kwenye huu uzi umerudi angalau kusavei saveiWakati mwingine kataeni kushindanishwa na Chama, utapotea wewe na mpira wako
Mpaka sasa ROI kwenye usajili wa Ki imepatikana.Kwa hiyo hao ndio wanamfanya Ki aishie kutema mate uwanjani?
Msengerema ni wewe unae angalia wanaume wenzako wanatema mateYule msengerema zaidi ya kutema tema mamate hamna kitu anajua
Utakuwa utopolo weweMsengerema ni wewe unae angalia wanaume wenzako wanatema mate
Kama hautaki nendaUtakuwa utopolo wewe
Upo sahihi, haya rudi sasa kwenye madaNelson Okwa
Augustine Okrah
Habib Kyombo
Nassor Kapama
Mohamed Outarra
Ismail Sawadogo
Victor Akpan
Hao wote ni mizigo tu lakini kuna mtu anawashwa kuja kuisema Yanga na usajili wa Aziz. Anza na hao kwanza kenyamkela wewe
Mudi anapata hasara umekomaa na Azizi KUpo sahihi, haya rudi sasa kwenye mada
Mhasibu uhali gani huko ulipo ?Kama mwaka jana hamkuweka hiyo hasara basi mwaka muiweke. Hii hasara ni kubwa sana
Uhasibu unaendelea kitakwimu.Mudi anapata hasara umekomaa na Azizi K
Wewe kagoe baharini kila kitu hua kinabumaKama mwaka jana hamkuweka hiyo hasara basi mwaka muiweke. Hii hasara ni kubwa sana