Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Wewe unajua tulimleta Kwa kazi gani? Mbumbumbu bana yaani mnatafuta mahali pa kuwapa faraja ili mfarijike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akili za Utopolo utazijua tu.Aliyewapeni hilo jina aliona mbali sana.
 
Wachezaji wa Yanga wana Jihad siku zote na mashabiki wao wana Hasira.

waliposema nyumba Mwiko walikuwa wanamaanisha.

Ngoja sasa waje wakutimulie vumbi. Maana wao wako bize na Dejan wanasahau wana watu kibao pale hata goli moja hawana.
Mkuu allen umenena vema
 
Be serious please
1664943905280.jpg
 
Scars huwa ni chawa wa okwibobansunzu kwaio hata mataputapu ya jamaa yake huwa anayasapoti tu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]
Akifanya kitukio chochote uwanjani mnakuja kuamsha uzi

uoni kama hiyo tu inathibitisha kuwa ni mbahatishaji?
 
Back
Top Bottom