Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Ooooh sjui sisi tuko kimataifa league ya Ndani sio level yatu.
.
Wakàti unakutana na team imepanda league msimu huu unasawazisha Kwa taaabu [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Jana kaleta million 500, hivyo ameingiza faida ya million 100! Unaumwa si bure
 
😂😂😂😂😂😂😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

#KihasibuIendelee
 
Hasara inapungua au inaendelea ? naomba wataalamu wa economics na accountancy wanisaidie #KihasibuImekaaje
 
Hasara inapungua au inaendelea ? naomba wataalamu wa economics na accountancy wanisaidie #KihasibuImekaaje
Kihasibu sijui. Ila kibiashara ni biashara ambayo umewekeza pesa mingi lkn return yake inatumia mda mrefu kurudi kiasi kwamba mpaka hioni kama inakulipa. Mf umewekeza ml 100 ila kwa mwaka unapata faida afu3.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kihasibu sijui. Ila kibiashara ni biashara ambayo umewekeza pesa mingi lkn return yake inatumia mda mrefu kurudi kiasi kwamba mpaka hioni kama inakulipa. Mf umewekeza ml 100 ila kwa mwaka unapata faida afu3.
ROI haiendani na uhalisia wa ulichowekeza
 
Anachodeliver mpaka sasa ukilinganisha na gharama za kumleta,bado hazi reflect uhalisia wa gharama iliyotumika.
Hata msimu mmoja haujaisha umesha-conclude ni mchezaj mbaya, Tanzania ni moja ya nchi ya ajabu sana ndo maana hata kwa watoto wetu ni ngumu kufanya vizuri kwenye mambo mengi sababu kabla hawajaanza safari wanakatishwa tamaa vibaya mno
 
Kihasibu sijui. Ila kibiashara ni biashara ambayo umewekeza pesa mingi lkn return yake inatumia mda mrefu kurudi kiasi kwamba mpaka hioni kama inakulipa. Mf umewekeza ml 100 ila kwa mwaka unapata faida afu3.
Hitimisho kamili utapata baada ya kutumikia angalau miziki miwili.
 
Hata msimu mmoja haujaisha umesha-conclude ni mchezaj mbaya, Tanzania ni moja ya nchi ya ajabu sana ndo maana hata kwa watoto wetu ni ngumu kufanya vizuri kwenye mambo mengi sababu kabla hawajaanza safari wanakatishwa tamaa vibaya mno
Soma kwanza hii sentensi yangu kama sehemu ya comment uliyoniquote "Anachodeliver mpaka sasa......." Ungeielewa usingekuja na hiyo comment yako.Mbona kiswahili ni lugha inayoeleweka vizuri tu.
 
Back
Top Bottom