Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kwahio tumehamia kwa Sopu sio Azizi K? u Mbumbumbu ni genetic

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Bado tupo kwa Azizi Ki huyo huyo, huyo Sopu ni reference tu kuonesha kama unamuona Aziz Ki ni bora kwasbabu alimfunga Manula goli tatu kwenye mechi zaidi ya mbili

Unapaswa ukumbuke kuwa Sopu alifunga hizo goli 3 ndani ya mechi moja, je Sopu ni bora zaidi kuliko Azizi Ki?

Jibu ni ndiyo
 
Mleta mada anameza mate ya uchungu huko aliko

Sasa anamsimfia SAIDOO NTIBAZOKIZA ambaye alikuwa akimponda mda wote kipind Cha nyuma na reference ninazo ukibisha sema nizishushe nimepitia thread mbalimbali za miaka 2 nyuma nimescreen shot
 
Bado tupo kwa Azizi Ki huyo huyo, huyo Sopu ni reference tu kuonesha kama unamuona Aziz Ki ni bora kwasbabu alimfunga Manula goli tatu kwenye mechi zaidi ya mbili

Unapaswa ukumbuke kuwa Sopu alifunga hizo goli 3 ndani ya mechi moja, je Sopu ni bora zaidi kuliko Azizi Ki?

Jibu ni ndiyo
Walimu wako walikua na shida sana kukueleweasha

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
hivi watara okra wapo??
wale walikuja kama free agent vile au ndo loss juu ya loss!!!
 
Back
Top Bottom