ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kasha mpiga vitatu mpka sasaYe mwenyewe Azizi Ki anaelewa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasha mpiga vitatu mpka sasaYe mwenyewe Azizi Ki anaelewa
Sopu alihitaji mechi moja
Kibudenga anahitaji ngapi?Sopu alihitaji mechi moja
Kwahio tumehamia kwa Sopu sio Azizi K? u Mbumbumbu ni geneticSopu alihitaji mechi moja
Bado tupo kwa Azizi Ki huyo huyo, huyo Sopu ni reference tu kuonesha kama unamuona Aziz Ki ni bora kwasbabu alimfunga Manula goli tatu kwenye mechi zaidi ya mbiliKwahio tumehamia kwa Sopu sio Azizi K? u Mbumbumbu ni genetic
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yametimia.Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
Alishalijibu hili kwa utu uzima kabisa.Mleta mada anameza mate ya uchungu huko aliko
Sasa anamsimfia SAIDOO NTIBAZOKIZA ambaye alikuwa akimponda mda wote kipind Cha nyuma na reference ninazo ukibisha sema nizishushe nimepitia thread mbalimbali za miaka 2 nyuma nimescreen shot
"MV MANURE"?
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ni kawaida yake mkuu
Walimu wako walikua na shida sana kukueleweashaBado tupo kwa Azizi Ki huyo huyo, huyo Sopu ni reference tu kuonesha kama unamuona Aziz Ki ni bora kwasbabu alimfunga Manula goli tatu kwenye mechi zaidi ya mbili
Unapaswa ukumbuke kuwa Sopu alifunga hizo goli 3 ndani ya mechi moja, je Sopu ni bora zaidi kuliko Azizi Ki?
Jibu ni ndiyo
Kuliko mwalimu wako wa mwandiko?
Kiswahili ni lugha yangu ya pili usipate tabu ba uandishi wangu wewe unashinda ya uelewaKuliko mwalimu wako wa mwandiko?
Tumia hiyo lugha yako ya kwanza labda afadhali naweza kuionaKiswahili ni lugha yangu ya pili usipate tabu ba uandishi wangu wewe unashinda ya uelewa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
hivi watara okra wapo??Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Huyo mbumbumbu OKW BOBAN SUNZU, ni wa kupuuzwa tu.Mbona uzi wa Takwimu Kibu D Vs Mayele haurokei kutoa updates hata kusalimia kama hivi na umepotea mazima ?
cc : Tate Mkuu
Kwa hiyo hao ndio wanamfanya Ki aishie kutema mate uwanjani?hivi watara okra wapo??
wale walikuja kama free agent vile au ndo loss juu ya loss!!!