Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Kwani si ulisema Aziz Ki angesajiliwa Simba?
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Kwani si ulisema Aziz Ki angesajiliwa Simba?
 
Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
 
Yanga Sc usajili wao ulikuwa ni kwa ajili ya kampeni na hilo limekwishajidhihirisha.
 
Huu uzi nilikuwa nautafuta sana leo na ule wa takwimu Kibu D Vs Mayele 😂😂😂😂😂😂😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Huu uzi nilikuwa nautafuta sana leo na ule wa takwimu Kibu D Vs Mayele 😂😂😂😂😂😂😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamaa amefunga profile lake kwa kuona nyuzi za zinafukuliwa sana nyakati kama hizi ,kwa vile nimesomea Cuba sikukata tamaa nimetumia mbinu za kijasusi kufukua japo haikuwa rahisi nimetumia kama dakika kumi mpaka kuipata.

Sasa hivi nalaaa vizuri nishaweka nukta hapa Kesho panapo majaaliwa nitauamkia kirahisi sana.

😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂


Tate Mkuu ukikaidi utapigwa2
 
Aibu zingine unajitakia mwenyewe
IMG_20221015_211819.jpg
 
Sisis wenye team ndo tunaejua umuhimu wa aziz ki hebu tuachie my wetu 😂😂😂
 
Sio mara zote kuanza biashara leo na kuanza kupata faida papo kwa hapo. Wakati mwingine huchukua muda wa kutosha ili kuanza kupata faida ya uwekezaji. Hivyo faida za kimataifa sh. milioni 400 za usajili wa Aziz Ki zimeanza kulipa leo.
 
Back
Top Bottom