OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #81
Muhasibu wa Uto upooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani si ulisema Aziz Ki angesajiliwa Simba?Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Hoja yako ni niniKwani si ulisema Aziz Ki angesajiliwa Simba?
Kwani si ulisema Aziz Ki angesajiliwa Simba?Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Mkuu Huwa haujifunzi tu Kwa nyuzi zako za aina hii[emoji848][emoji848][emoji848]??
Mara zote zimekuwa zikikuumbua na ushahidi upo humu jukwaa..
Muda ni mwalimu mzuri tutakuja kufukua hili kaburi
Hoja yako ni niniKwani si ulisema Aziz Ki angesajiliwa Simba?
Bro mi ni Simba ila huu uzi naukataaa.Hoja yako ni nini
Jamaa amefunga profile lake kwa kuona nyuzi za zinafukuliwa sana nyakati kama hizi ,kwa vile nimesomea Cuba sikukata tamaa nimetumia mbinu za kijasusi kufukua japo haikuwa rahisi nimetumia kama dakika kumi mpaka kuipata.Huu uzi nilikuwa nautafuta sana leo na ule wa takwimu Kibu D Vs Mayele 😂😂😂😂😂😂😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ulimuonya ....Bro mi ni Simba ila huu uzi naukataaa.
Aziz Ki ni mwamba bro
Nani tena huyo kwenye hicho chungu! 😃Aibu zingine unajitakia mwenyeweView attachment 2411825