Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nimecheka sana yani mmemtengenezea mpaka na mockup?View attachment 2356250
Muwekege akiba ya maneno na muache mihemuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana yani mmemtengenezea mpaka na mockup?View attachment 2356250
Muwekege akiba ya maneno na muache mihemuko
Ye mwenyewe hakutarajia kuona ile pasi ingekuwa goliMNA kazi sana mwaka huu, umeona goli la kiUefa Jana?
Hahahahaahahaha hahahahaaah jamani ndo kwa goli moja hiloooView attachment 2356250
Muwekege akiba ya maneno na muache mihemuko
Ila goli la Phiri Malawi ndio skills?Ye mwenyewe hakutarajia kuona ile pasi ingekuwa goli
Kwenye mpira sio skills tu, na mazari yapo pia
Uliona goli alilofunga jana? we Boya kweliUzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo
Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m
Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Sasa goli la Phiri utafananisha na hili la bahati mbaya?Ila goli la Phiri Malawi ndio skills?
Unaona umbumbumbu wenu ulipo?Sasa goli la Phiri utafananisha na hili la bahati mbaya?
Ishu sio Tiktak ishu ni mazingira gani umepiga hiyo tiktakUnaona umbumbumbu wenu ulipo?
Kuna mchezaji asiyejuwa kupiga tiktak?
Basi itakuwa umeanza kuangalia Mpira kipindi cha Mwamedi Dewji.Ishu sio Tiktak ishu ni mazingira gani umepiga hiyo tiktak
Mbona Mayele alipiga tiktak msimu uliopita lakini alipiga tiktak akiwa peke yake hakukuwa na wachezaji wa timu pinzani waliokuwa wakigombea mpira
Phiri kapiga tikatak mpira ambao ulikuwa unagombewa na walinzi zaidi ya watatu
Nani kasema magoli ya tiktak yanayofungwa na wachezaji wa Simba hayajawahi fungwa na timu zingine?Basi itakuwa umeanza kuangalia Mpira kipindi cha Mwamedi Dewji.
Hayo magoli ya tiktak Said Mwamba Kizota amefunga sana.
Ndio tamu hilo kama lile mligongwa na Feisal kushituka imooLinaitwa Goli la vuuuu bin puuuuu
Kwahiyo hilo goli limeingia kwenye goli bora la wiki first round?Nani kasema magoli ya tiktak yanayofungwa na wachezaji wa Simba hayajawahi fungwa na timu zingine?
Unaelewa hata unachokiandika?
Wapi nimeandika goli limeingia kwenye goli bora la wiki first round?Kwahiyo hilo goli limeingia kwenye goli bora la wiki first round?
Soon wazee wa mihemuko mtaanzisha mayele vs phiri,hiyo ndio faraja yenu iliyobakiIshu sio Tiktak ishu ni mazingira gani umepiga hiyo tiktak
Mbona Mayele alipiga tiktak msimu uliopita lakini alipiga tiktak akiwa peke yake hakukuwa na wachezaji wa timu pinzani waliokuwa wakigombea mpira
Phiri kapiga tikatak mpira ambao ulikuwa unagombewa na walinzi zaidi ya watatu
Mayele ana nini nyie mbona mmekuwa watumwa kwake kiasi hicho?Soon wazee wa mihemuko mtaanzisha mayele vs phiri,hiyo ndio faraja yenu iliyobaki
Tuwaheshimuni wazazi... Kwani ungemjibu bila kumuunganisha mzazi ungepungukiwa na niniHuna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu
Jamaa ana haraka utadhani kaambiwa na CAF aandae ripoti ya usajiliMiezi 6 inaweza kutoa picha vizuri ya uwezo wake. Usiwe na haraka tv zipo tutamuona
kama sio wewe vileMayele ana nini nyie mbona mmekuwa watumwa kwake kiasi hicho?
Kuna mmoja nilimsikia akisema anatamani angekuwa mwanamke ili alale na Mayele, kwanini Mayele awafamye mfikie hatua hiyo?
Au ni ushamba uliotokana na kukaa misimu mingi bila ubingwa plus na ubovu wa kina kalinyo na sapong?