Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Ngoja tumuweke kiporo mpaka Aziz Ki akikiwasha tena. Ni burudani tosha yaani mechi ikiisha huko tunahamia huku kuendeleza burudani 😁😁😁

View attachment 2790559
Huu uzi ni burudani sana ,tumekubaliana Azizi Ki akikiwasha tu huu uzi unafufuliwa na unakuwa live kwa siku mbili mpaka next mechi mpaka akiwashe tena.

Kutokana na kesho nayo siku natunza vibomu vingine kwa matumizi ya baadae.
 
Hii ndio shida ya makampuni kuweka vyoo vizuri makazini. Huyu muhasibu kala ugali wa mama ntilie kabanwa haja kaenda chooni kakaa kwenye choo anapuu huku anaperuzi JF kaamua kuanzisha uzi na ndio huu sasa
 

Huu uzi nuliandika tokea mechi ya kwanza ya Azizi Ki Yanga , muhasibu angezingatia uchambuzi humo asingeandika huu uzi .
 
Maxence Melo, fungeni huu uzi kumnusuru huyu jamaa.
Cookie alimsaidie uzi wa Takwimu Kibu D Vs Mayele heading ikaeditiwa neno "zingatia uchungu " likafutwa na baadhi ya post mpaka wazee wa updates tukaleta mgomo kutembeza hashtags za kutaka haki itendeke, hapo wakurudisha uzi kama ulivyokuwa.

Wafuta kwenye heading neno "Kihasibu" watakuwa wamemsaidia sana maana comments zote zinabase hapo.
 

KIHASIBU[emoji23][emoji23]
 

Na sasa ikoje? 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…