Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tabu iko pale pale. 🤣🤣
Hahahaaa. Tumekataa hatujaipokea hii radhi. 😅😅Mhasibu omba radhi
Ego ya kihasibu haitamruhusu!Mhasibu omba radhi
Atuandalie dira ya maendeleo ya taifa kwa miaka 50 ijayo. Ama mnasemaje wananzengo?😁😁😁Mwachibu Una maono ya mbali sana....unafaa hata upewe kitengo BOT
Jamaa kiburi Mimi nilimsihi Hilo tokea siku za akabisha nikaufufua huu uzi na kuuActivate siku ambayo tuliyowafunga Club African na kuingia makundi shirikisho.Mhasibu omba radhi
Jitihada hazikuishia hapo tukamtuma Mzee wa busara Tate Mkuu amshauri Mwasibu bado hakusikia mpaka dakika za mwisho tukamtuma Shadeeya amsihi anko wake aombe radhi , lakini bado tu kwa Mwasibu ikiwa sawa na kumpigia mbuzi gitaa.Jamaa kiburi Mimi nilimsihi Hilo tokea siku za akabisha nikaufufua huu uzi na kuuActivate siku ambayo tuliyowafunga Club African na kuingia makundi shirikisho.
Nikamsihi tena baada ya kumpiga spana , jamaa akawa mbishi akawa anakuja kudhihaki humu eti sisi majobless hatuna mishe za maana Wala wake ,asubuhi baada ya kutulia na wake zetu tunakuja kujazana humu.
Ikiwa tukimtag Mwasibu wetu OKW BOBAN SUNZU aombe radhi anakuja kibabe kutoa dislikes humu.
Kabisa ndugu yangu kiukweli kama kubadilika tu Mwasibu amejua kubadilika.Jitihada hazikuishia hapo tukamtuma Mzee wa busara Tate Mkuu amshauri Mwasibu bado hakusikia mpaka dakika za mwisho tukamtuma Shadeeya amsihi anko wake aombe radhi , lakini bado tu kwa Mwasibu ikiwa sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Lakini si haba mafanikio ni kwamba Mwasibu wa sasa sio kama wa Zamani sasa haandiki nyuzi zake hovyo na akiandika anaandika kwa umakini na tahadhari kubwa sana.