Kajibaza kwenye kona πAloooh hasibu kajibanza
[emoji1787]Aloooh hasibu kajibanza
Tulimshauri akaja kutudhihaki kumu na kutupa dislikes , angekubali ushauri wangu Mimi ningeuzima huu Uzi kama ule wa Takwimu , ningewaomba Wana Kamati ya roho mbaya tuache huu Uzi ila Ndugu yetu Mwasibu hakusikia tuliwatuma Warembo na Wazee wa busara humu wamsihi aombe radhi bado akawa mbishi.πππifike mahala Mwasibu asamehewe
Akiomba radhi Mimi na Kamati yangu ,tutaongea kabisa na mods waufunge na kuufuta huu Uzi.πππifike mahala Mwasibu asamehewe