Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

😁😁😁ifike mahala Mwasibu asamehewe
Tulimshauri akaja kutudhihaki kumu na kutupa dislikes , angekubali ushauri wangu Mimi ningeuzima huu Uzi kama ule wa Takwimu , ningewaomba Wana Kamati ya roho mbaya tuache huu Uzi ila Ndugu yetu Mwasibu hakusikia tuliwatuma Warembo na Wazee wa busara humu wamsihi aombe radhi bado akawa mbishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…