Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

😁😁😁ifike mahala Mwasibu asamehewe
Tulimshauri akaja kutudhihaki kumu na kutupa dislikes , angekubali ushauri wangu Mimi ningeuzima huu Uzi kama ule wa Takwimu , ningewaomba Wana Kamati ya roho mbaya tuache huu Uzi ila Ndugu yetu Mwasibu hakusikia tuliwatuma Warembo na Wazee wa busara humu wamsihi aombe radhi bado akawa mbishi.
 
Back
Top Bottom