Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Za chini chini ni kwamba mleta uzi hakuwahi kucheza mpira hata wa makaratasi na ni muhitimu wa KLF pale Tabora boys which means hamna namna anaweza kuwa alisoma Accounts baadae hata kwa ngazi ya certificate. Hapa anaongelea mambo mawili asiyo yajua hata kidogo
Hebu iheshimu Tabora boys mkuu, hatuwezi soma na mtu kama huyu[emoji20]
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Oya Mbumbumbu hiyo hasara vp?
 
Naongezea kwa waliocheza mpira. Mchezaji anaangaliwa majukumu ktk position. Anavyopokea pasi au mpira na anavyotoa pasi au anaachia mpira (accuracy). Hizi ndiyo basics. Halafu vingine vyote ndo vinafata. Mwangalie Maxi Zengeli, ana hizo basics lakini hajua kufunga. Huyu akipata kocha mzuri wa ufungaji anakuwa vizuri. Mwangalie Moloko. Huyu ana kasi ila hana basics tajwa.



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Huna tofauti nahuyu mhasibu uchwara kwamba zengeli kufunga hajui
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Mtu mzima akivuliwa nguo huchutama
 
Back
Top Bottom