Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

20240309_101920.jpg

😂🤣😁😁😁😁
20240212_170117.jpg
 
Amna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?

Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong

Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
Astaghafirullah Cc adriz njoo huku kaka Kuna risiti hapa😂🤣😁😁😁
20240212_170117.jpg
 

JamiiForums





Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga​

1 of 50Next Last
Unwatch
•••
[IMG alt="OKW BOBAN SUNZU"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/52/52569.jpg?1628243497[/IMG]

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member​

Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Ndiyo maana huyu jamaa huwa namchukia maana anajifanya anajua sana, kumbe ni zoba tu! Kukurupuka kwako OKW BOBAN SUNZU ni majanga
 
Na kilaza mwezake ni yule popoma genta
Huyo ni zero kabisa. Unajua mchezaji hata akiwa Messi au Ronaldo lazima azoeane na wenzie. Mwaka wa kwanza huwezi judge, lazima apate muda.

Mpira wetu ni tofauti na wa wengine. Pili kuna tatizo la ushabiki nyanya kama wa OKW BOBAN SUNZU au huyu nyang’au GENTAMYCINE nao ni shida. Mtu anakaza shingo mpaka unajiuliza huyu alishafika hata darasa la nne!
 
Back
Top Bottom