Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Mkuu kuwa na heshima kwa messi na Pele.
Kimafanikio na takwimu Maradona ni mdogo sana kwa Messi na Pele.
Mkuu kuwa na heshima bhanaaaa!
Hata Argentina wanatambua Maradona ni zaidi ya Messi .
Ndiyo Messi ameshinda mchezaji wa dunia mara kadhaa, ameshinda makombe mengi akiwa na Barcelona lakini tujiulize je Hiyo Barcelona alivyochezea Messi ilikuwa na kina nani ?
Barcelona ilikuwa timu bora duniani kuanzia kipa Mpaka namba 11.
Messi alikua kimpira akiwa chini ya Ronaldinho , iniesta na xavi wakimpatia msaada mkubwa wa mafanikio .
 
Hata Argentina wanatambua Maradona ni zaidi ya Messi .
Ndiyo Messi ameshinda mchezaji wa dunia mara kadhaa, ameshinda makombe mengi akiwa na Barcelona lakini tujiulize je Hiyo Barcelona alivyochezea Messi ilikuwa na kina nani ?
Barcelona ilikuwa timu bora duniani kuanzia kipa Mpaka namba 11.
Messi alikua kimpira akiwa chini ya Ronaldinho , iniesta na xavi wakimpatia msaada mkubwa wa mafanikio .
Wewe ndio unasema kuwa Maradona ni zaidi ya Messi.
Ila Argentina Messi ni zaidi ya Maradona na kiuhalisia Messi ni zaidi ya Maradona.
Tukianza na timu ya klabu Messi alikuja kuvaa namba 10 ya Gaucho akicheza na Xavi na Iniesta watu walidai messi anachezeshwa.
Kipindi cha Luis Enrique Messi alicheza namba 8 central midfield na mara chache kacheza kama attacking midfield na kaongoza kimagoli na kuchukua pichichi award na uchezaji bora Uefa.
IKaenda mbali zaidi Barcelona na Ernesto valverde ambayo ilitolewa robo fainali na Liverpool messi alikua akicheza muda mwingine nafasi ya Neymar na timu ikawa ina perform messi akicheza kama winga nafasi yake akicheza Denis suarez kabla hajaenda Arsenal.
Na bado akawa anafunga na kuwa mchezaji bora.
Tuje timu ya taifa huwezi fananisha Argentina ya Maradona na hii ya Messi,Argentina ya Messi ni Argentina ya usharobaro na vibweka ila Messi alionesha uwezo mkubwa kiasi akavunja rekodi za World cup za Pele katika mashindano ya kombe la dunia.
Maradona kaifikisha Argentina mara kambi Fainali kombe la dunia??
Ila Messi kaifikisha mara mbili na mara ya pili akaifaya ibebe kombe.
Embu kaka utizame takwimu usiongee kimasihara tu.
Kaenda PSG kaonesha uwezo ila nidhamu ya mpira PSG imemfanya ashindwe kuwepo yupo inter miami kila siku anashinda huko.

Na kwa Pele duniani hakuna mchezaji kamfikia hata sio Messi wala huyo Ronaldo.
 
Wachezaji wa Yanga wana Jihad siku zote na mashabiki wao wana Hasira.

Waliposema nyumba Mwiko walikuwa wanamaanisha.

Ngoja sasa waje wakutimulie vumbi. Maana wao wako bize na Dejan wanasahau wana watu kibao pale hata goli moja hawana.
Wewe timu yako kibegi fc ni mbovu sana
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Aziz k huyu aliye kupiga goli kwenye zile goli 5 😁😂😁😁😁
 
Wewe ndio unasema kuwa Maradona ni zaidi ya Messi.
Ila Argentina Messi ni zaidi ya Maradona.
Argentina wenyewe wamesemaje kwenye rank zao? Weka source yenye uhalali Ili usitumie nguvu kutoa maelezo.
 
Argentina wenyewe wamesemaje kwenye rank zao? Weka source yenye uhalali Ili usitumie nguvu kutoa maelezo.
Hiyo ni data ya kidunia.
Messi kaipatia makombe ya kimataifa mara nyingi Argentina kuliko Maradona.
Takwimu hizo hapo.
Yani jamaa kaenda mbali hadi kumshusha Pele kwa Maradona.
Screenshot_2024-04-15-12-20-38-76_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-04-15-12-21-46-95_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hata Argentina wanatambua Maradona ni zaidi ya Messi .
Ndiyo Messi ameshinda mchezaji wa dunia mara kadhaa, ameshinda makombe mengi akiwa na Barcelona lakini tujiulize je Hiyo Barcelona alivyochezea Messi ilikuwa na kina nani ?
Barcelona ilikuwa timu bora duniani kuanzia kipa Mpaka namba 11.
Messi alikua kimpira akiwa chini ya Ronaldinho , iniesta na xavi wakimpatia msaada mkubwa wa mafanikio .
Nikiwa kama shabiki wa Barca kindakindaki, Messi uwezo wake haukubebwa na Xavi wala Iniesta. Tusimzungumzie sana jamaa sababu hakuna wa kumfananisha nae ktk history ya mpira wa miguu.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.
JamiiForums1683832807.jpg
 
Hata Argentina wanatambua Maradona ni zaidi ya Messi .
Ndiyo Messi ameshinda mchezaji wa dunia mara kadhaa, ameshinda makombe mengi akiwa na Barcelona lakini tujiulize je Hiyo Barcelona alivyochezea Messi ilikuwa na kina nani ?
Barcelona ilikuwa timu bora duniani kuanzia kipa Mpaka namba 11.
Messi alikua kimpira akiwa chini ya Ronaldinho , iniesta na xavi wakimpatia msaada mkubwa wa mafanikio .
Umemsahau Samuel Eto'o
 
Amna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?

Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong

Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
Futa hii 🤣😁😁
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.

2. Mbumbumbu SC.

3. Mipang'ang'a SC.

4. Malalamiko SC.

5. Makelele SC.

6. Madunduka SC.

7. Mikia SC.

8. Mazumbukuku SC.

9. Manyaunyau (mapaka) SC.

10. Manyang'au SC.

11. Miso Misondo SC.

12. Mwakarobo SC.

13. Mazombi SC.

14. Kolokhamsa SC.

15. Kolowizards SC.

16. Kinyume nyume SC.

17. Zuwena SC.

18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.

19. Bahasha SC.

20. Ngada SC.

21. Kufa Kiume SC.

22. Masandakolozidad SC.View attachment 2964343
23. Nguruwe Fc
 
Back
Top Bottom