OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Inaonekana ule uzi uliwauma sana. Hamchoki kunizodoaNjoo utoe mwongozo wa matumizi sahihi ya fedha kitaalam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana ule uzi uliwauma sana. Hamchoki kunizodoaNjoo utoe mwongozo wa matumizi sahihi ya fedha kitaalam
Kwa Azam pancha ni kawaida, Bajana, Makipa wote, Sopu katoka juzi majeruhi, Dube, Jitu mwitu Allasane Diao etcDube pancha tupu!, tripu shamba, tripu Gereji.
huo ndo ukweli, yanga didn't want to pay azam for dube.This is porojo
Mimi mnyama mwenzioInaonekana ule uzi uliwauma sana. Hamchoki kunizodoa
Prince Dube has to pay the full USD $200,000 before Azam terminated his contract.huo ndo ukweli, yanga didn't want to pay azam for dube.
do investigation zote ndo uje,
ukiweza tuweke pesa nani kasema ukweli ,
Uchambuzi wa hoja yako utakuelemea. Kwa mfano unasema Fei toto aliondoka kama staa wa timu, ila mbona Yanga kaendelea kubeba makombe na kupiga hatua kubwa michuano ya Afrika bila uwepo wa Fei?. Hii inakupa jibu kuwa Fei alikuwa wa kawaida tu! Kama Fei ni mchezaji bora kiasi hicho, je Azam kafika wapi msimu uliopita? Zaidi, uhamisho wa Fei ulitokana na maelekezo ya deep state hivyo haukuwa biashara huru,, angeweza hata kuondoka bure.Tunajua mlikua na maumivu na kisasi cha kunyanganywa mchezaji wenu pendwa Fei Toto, ila mmelipiza kisasi kwa maumivu na hasara kubwa
Fei toto aliondoka kwa kiasi cha 100m kiasi ambacho kilikua kwenye kipengele chake cha kuvunja mkataba ana aliondoka akiwa wa moto kwelikweli super star wa timu
Dube Kaondoka Azam kwa kiasi cha 520m kwa pesa ya kitanzania ni kiasi ambacho kilikua kwenye mkataba wake pale anapotaka kuuvunja, yanga wamempa dube pesa hizo na amelipa
Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne
Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu
Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee
View attachment 3028962
View attachment 3028964
dube after signing his new contract alipewa 100k usd na azam then yanga wamempa 100k usd. total 200k kawa lipa azam. Acha kukaza kichwa yanga awaja lipa hiyo pesa yote.Prince Dube has to pay the full USD $200,000 before Azam terminated his contract.
Hizi pesa zimetoka huko utopoloni Dube aliwadanganya Gsm na mwenyekiti wenu kua hakuongeza mkataba mpya azam makaingia mkenge Azam wakakaza na mkataba ni halali, Viongozi wenu wameshauliana wameona bora wampe hiyo pesa akalipe kuondoa aibu na hofu ya mchezaji kwenda upande wa pili
Aingi akilini eti mchezaji atoe pesa aliyopewa kwa ajili ya mkataba wake akiwa azam ajilipie ili acheze utopolo kwa faida gani? huu ni uongo wadanganye hao nyuma mwiko
Wala usisumbuke huyo ni top striker, utajionea mwenyewe watarudi hapa kwa aibu. Kwa ile timu ya Yanga atafunga magoli ya kutosha tu hadi achoke.sio kweli. yanga wametoa 100k usd na dube ametoa 100k usd.
total = 200k usd kalipwa azam.
100k usd ni yanga signing fee kwa dube.
100k usd ya dube ni 100k usd alipewa na azam on his last contract. as signing fee.
dube did it for his reputation and not because of money, and it seems dube wanted this move more for football reasons.
yanga refused to buy him. but they said they will sign him as a free agent. thats what happened
dupe aliambwa atasajiliwa akiwa free agent only.
Hasibu feki hilo.
Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne
Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu
Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee
View attachment 3028962
View attachment 3028964
Pesa za mwanaume mwenzako zinakuuma!Prince Dube has to pay the full USD $200,000 before Azam terminated his contract.
Hizi pesa zimetoka huko utopoloni Dube aliwadanganya Gsm na mwenyekiti wenu kua hakuongeza mkataba mpya azam makaingia mkenge Azam wakakaza na mkataba ni halali, Viongozi wenu wameshauliana wameona bora wampe hiyo pesa akalipe kuondoa aibu na hofu ya mchezaji kwenda upande wa pili
Aingi akilini eti mchezaji atoe pesa aliyopewa kwa ajili ya mkataba wake akiwa azam ajilipie ili acheze utopolo kwa faida gani? huu ni uongo wadanganye hao nyuma mwiko
wacha ufala wewe!!!Prince Dube has to pay the full USD $200,000 before Azam terminated his contract.
Hizi pesa zimetoka huko utopoloni Dube aliwadanganya Gsm na mwenyekiti wenu kua hakuongeza mkataba mpya azam makaingia mkenge Azam wakakaza na mkataba ni halali, Viongozi wenu wameshauliana wameona bora wampe hiyo pesa akalipe kuondoa aibu na hofu ya mchezaji kwenda upande wa pili
Aingi akilini eti mchezaji atoe pesa aliyopewa kwa ajili ya mkataba wake akiwa azam ajilipie ili acheze utopolo kwa faida gani? huu ni uongo wadanganye hao nyuma mwiko