Kihasibu:Yanga Kumnunua Prince Dube kwa 520M ni hasara.

Kihasibu:Yanga Kumnunua Prince Dube kwa 520M ni hasara.

Tunajua mlikua na maumivu na kisasi cha kunyanganywa mchezaji wenu pendwa Fei Toto, ila mmelipiza kisasi kwa maumivu na hasara kubwa

Fei toto aliondoka kwa kiasi cha 100m kiasi ambacho kilikua kwenye kipengele chake cha kuvunja mkataba ana aliondoka akiwa wa moto kwelikweli super star wa timu

Dube Kaondoka Azam kwa kiasi cha 520m kwa pesa ya kitanzania ni kiasi ambacho kilikua kwenye mkataba wake pale anapotaka kuuvunja, yanga wamempa dube pesa hizo na amelipa

Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne

Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu

Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee

View attachment 3028962
View attachment 3028964
Aisee.
 
Mpaka Sasa kwenye NBC primier League

Mechi 3

Goal 0
Assist 0

Huyu si mgeni wa Ligi Wazee huu ni mwaka wa 5 yupo kwenye ligi hii
 
FB_IMG_17310106646351308.jpg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
 
Kuna vitu hushangaza sana. Yaani mchezaji hata anapotoka ni zero performance lakini bado umekaza magego kumsajili
 
Kwa kifupi hapo wamepigwa Dube sio mchezaji wa kutoa mil.500+ Yanga wamepigwa

Kwanza mchezaji mwenyewe ni gari la mkaa trip moja shamba moja garage toka afike nchi hii hajawahi kumaliza msimu mzima bila kuwa nje kwa majeraha

Feisal ambaye sio namba 9 kama yeye amecheza msimu mmoja tu azam amefunga magoli mengi kuliko magoli aliyofunga Dube kwenye msimu wake wowote bora toka atue nchi hii ikiwa ni zaidi ya misimu minne sasa

Kwa uwezo wake na rekodi zake kwa mchezaji wa aina hiyo aliyekuwa kabakisha mwaka mmoja azam Yanga wangepigwa hela nyingi sana ni 200mil

SIna shaka msimu ujao Mzize atakuwa na msaada mkubwa kuliko huyo Dube na hata goli 07 hawezi vusha
Wasije sema hatukuwaambia hawa ndugu zetu
 
Back
Top Bottom