Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Uzuri muda upo usije kimbia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Muhaseeb ...Tunajua mlikua na maumivu na kisasi cha kunyanganywa mchezaji wenu pendwa Fei Toto, ila mmelipiza kisasi kwa maumivu na hasara kubwa
Fei toto aliondoka kwa kiasi cha 100m kiasi ambacho kilikua kwenye kipengele chake cha kuvunja mkataba ana aliondoka akiwa wa moto kwelikweli super star wa timu
Dube Kaondoka Azam kwa kiasi cha 520m kwa pesa ya kitanzania ni kiasi ambacho kilikua kwenye mkataba wake pale anapotaka kuuvunja, yanga wamempa dube pesa hizo na amelipa
Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne
Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu
Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee
View attachment 3028962
View attachment 3028964
ChaiTunajua mlikua na maumivu na kisasi cha kunyanganywa mchezaji wenu pendwa Fei Toto, ila mmelipiza kisasi kwa maumivu na hasara kubwa
Fei toto aliondoka kwa kiasi cha 100m kiasi ambacho kilikua kwenye kipengele chake cha kuvunja mkataba ana aliondoka akiwa wa moto kwelikweli super star wa timu
Dube Kaondoka Azam kwa kiasi cha 520m kwa pesa ya kitanzania ni kiasi ambacho kilikua kwenye mkataba wake pale anapotaka kuuvunja, yanga wamempa dube pesa hizo na amelipa
Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne
Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu
Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee
View attachment 3028962
View attachment 3028964
Hahah mkuu mi kwa mara ya kwanza naona ule uzi nikajua wewe Mhasibu kweli.Inaonekana ule uzi uliwauma sana. Hamchoki kunizodoa
Tena hasibu mbuzii😂Mwasibu ni mmoja tu OKW BOBAN SUNZU ogopa matapeli.....
Naunga mkono hoja 🤣 😁 😁 😁 😁 😁Mwisho wa Msimu tutakuja kufanya hitimisho la Kihasibu kila tuone kama utakuwa Mwasibu mpya JF na kupata nafasi Moja kwa Moja ya kuingia katika jopo la Wahasibu.
Kabisa Mwasibu kama Mwasibu. 🤣🤣🤣Mwasibu ni mmoja tu OKW BOBAN SUNZU ogopa matapeli.....
Ndugu yangu mwenzio nikajua huu ni ule uzi wa kihasibu wa siku zote kumbe huu ni mwingine. Lol.Mwisho wa Msimu tutakuja kufanya hitimisho la Kihasibu kila tuone kama utakuwa Mwasibu mpya JF na kupata nafasi Moja kwa Moja ya kuingia katika jopo la Wahasibu.
Kabisa yule ndio mwasibu wa kimataifa na uchambuzi wa michezoMwasibu ni mmoja tu OKW BOBAN SUNZU ogopa matapeli.....
Hasibu la memkwaTena hasibu mbuzii😂
Heshimu menkwa bbyHasibu la memkwa
Umesahau ni mhasibu wa mchongoMwasibu ni mmoja tu OKW BOBAN SUNZU ogopa matapeli.....