Kihasibu:Yanga Kumnunua Prince Dube kwa 520M ni hasara.

Kihasibu:Yanga Kumnunua Prince Dube kwa 520M ni hasara.

Unakurupuka kumchukua mzee wa pancha kwa gharama kubwa tena mchezaji wa kigeni halafu unasema umelipa kisasi. Huu ni zaidi ya u -hamnazo kama alivyosema Manara .
hua anawakanda na pancha zake
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    22.7 KB · Views: 8
Tunajua mlikua na maumivu na kisasi cha kunyanganywa mchezaji wenu pendwa Fei Toto, ila mmelipiza kisasi kwa maumivu na hasara kubwa

Fei toto aliondoka kwa kiasi cha 100m kiasi ambacho kilikua kwenye kipengele chake cha kuvunja mkataba ana aliondoka akiwa wa moto kwelikweli super star wa timu

Dube Kaondoka Azam kwa kiasi cha 520m kwa pesa ya kitanzania ni kiasi ambacho kilikua kwenye mkataba wake pale anapotaka kuuvunja, yanga wamempa dube pesa hizo na amelipa

Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne

Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu

Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee

View attachment 3028962
View attachment 3028964
POLEEEEEE
 
dube after signing his new contract alipewa 100k usd na azam then yanga wamempa 100k usd. total 200k kawa lipa azam. Acha kukaza kichwa yanga awaja lipa hiyo pesa yote.

misinformation hii
We jamaa ni mweupe sana kwenye soka hakuna unachojua

Hiyo unayosema alipewa ni sign fee, mchezaji akishapewa mkataba anakua ni mali ya timu hivyo timu inaamua kuweka kipengere cha endapo mchezaji anataka kuvunja mkataba (release clause) kiasi cha pesa ambacho timu inayomtaka inapaswa kukitoa ili kuuvunja mkataba au mchezaji mwenyewe akitaka kuvunja mkataba analipa hiyo pesa
 
We jamaa ni mweupe sana kwenye soka hakuna unachojua

Hiyo unayosema alipewa ni sign fee, mchezaji akishapewa mkataba anakua ni mali ya timu hivyo timu inaamua kuweka kipengere cha endapo mchezaji anataka kuvunja mkataba (release clause) kiasi cha pesa ambacho timu inayomtaka inapaswa kukitoa ili kuuvunja mkataba au mchezaji mwenyewe akitaka kuvunja mkataba analipa hiyo pesa
Mangungu anaondoka lini?
 
Kwa kifupi hapo wamepigwa Dube sio mchezaji wa kutoa mil.500+ Yanga wamepigwa

Kwanza mchezaji mwenyewe ni gari la mkaa trip moja shamba moja garage toka afike nchi hii hajawahi kumaliza msimu mzima bila kuwa nje kwa majeraha

Feisal ambaye sio namba 9 kama yeye amecheza msimu mmoja tu azam amefunga magoli mengi kuliko magoli aliyofunga Dube kwenye msimu wake wowote bora toka atue nchi hii ikiwa ni zaidi ya misimu minne sasa

Kwa uwezo wake na rekodi zake kwa mchezaji wa aina hiyo aliyekuwa kabakisha mwaka mmoja azam Yanga wangepigwa hela nyingi sana ni 200mil

SIna shaka msimu ujao Mzize atakuwa na msaada mkubwa kuliko huyo Dube na hata goli 07 hawezi vusha
 
Unakurupuka kumchukua mzee wa pancha kwa gharama kubwa tena mchezaji wa kigeni halafu unasema umelipa kisasi. Huu ni zaidi ya u -hamnazo kama alivyosema Manara .
Jamaa wamekurupuka vibaya mno, Dube sio mchezaji wa kutoa mil 500 useme unalipa kisasi kwa Azam
Azam watakuwa wameshukuru sana hilo dili maana wametoka kumuuza juzi tu Kipre Jr akiwa form kabisa kwa 350mil halafu leo wanaona kuna timu inajichanganya kuvunja mkataba wa Dube ili walipe mil 500 daah
 
Tunajua mlikua na maumivu na kisasi cha kunyanganywa mchezaji wenu pendwa Fei Toto, ila mmelipiza kisasi kwa maumivu na hasara kubwa

Fei toto aliondoka kwa kiasi cha 100m kiasi ambacho kilikua kwenye kipengele chake cha kuvunja mkataba ana aliondoka akiwa wa moto kwelikweli super star wa timu

Dube Kaondoka Azam kwa kiasi cha 520m kwa pesa ya kitanzania ni kiasi ambacho kilikua kwenye mkataba wake pale anapotaka kuuvunja, yanga wamempa dube pesa hizo na amelipa

Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne

Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu

Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee

View attachment 3028962
View attachment 3028964
Debit nini na credit nini?
 
dube after signing his new contract alipewa 100k usd na azam then yanga wamempa 100k usd. total 200k kawa lipa azam. Acha kukaza kichwa yanga awaja lipa hiyo pesa yote.

misinformation hii
Hata fei aliondoka yanga baada ya kuilipa yanga 112M basi.
 
Kwa kifupi hapo wamepigwa Dube sio mchezaji wa kutoa mil.500+ Yanga wamepigwa

Kwanza mchezaji mwenyewe ni gari la mkaa trip moja shamba moja garage toka afike nchi hii hajawahi kumaliza msimu mzima bila kuwa nje kwa majeraha

Feisal ambaye sio namba 9 kama yeye amecheza msimu mmoja tu azam amefunga magoli mengi kuliko magoli aliyofunga Dube kwenye msimu wake wowote bora toka atue nchi hii ikiwa ni zaidi ya misimu minne sasa

Kwa uwezo wake na rekodi zake kwa mchezaji wa aina hiyo aliyekuwa kabakisha mwaka mmoja azam Yanga wangepigwa hela nyingi sana ni 200mil

SIna shaka msimu ujao Mzize atakuwa na msaada mkubwa kuliko huyo Dube na hata goli 07 hawezi vusha
"Uzuri wa huu mchezo
unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani
kifaa nani garasa. "

MWASIBU
 
Tunajua mlikua na maumivu na kisasi cha kunyanganywa mchezaji wenu pendwa Fei Toto, ila mmelipiza kisasi kwa maumivu na hasara kubwa

Fei toto aliondoka kwa kiasi cha 100m kiasi ambacho kilikua kwenye kipengele chake cha kuvunja mkataba ana aliondoka akiwa wa moto kwelikweli super star wa timu

Dube Kaondoka Azam kwa kiasi cha 520m kwa pesa ya kitanzania ni kiasi ambacho kilikua kwenye mkataba wake pale anapotaka kuuvunja, yanga wamempa dube pesa hizo na amelipa

Dude yupo hapa tanzania kwa misimu 4 kama kinara wa eneo la ushambuliaji hapo Azam Fc ila hawai kuibuka mfungaji bora wa Ligi kuu toka atue nchini, wala hajawai kuingia top 3 ya wafungaji bora wa msimu kwa misimuyote hiyo minne

Mayele,Saidoo,Aziz k wamekuja wameibuka wafungaji bora na wameondoka wamemua yupo yupo tu anapuyanga,akina mukwala wanakuja wataibuka wafungaji bora dube yupo tu

Niitimishe kwa kusema kua hii ni hasara wazee

View attachment 3028962
View attachment 3028964
jidanganye
 
Mbumbumbu fc vilio vitaendelea, Yanga haina lengo zuri na soka la bongo, yaani Yanga ina masifa , imenunua drone missile (Dube) eti kuja kuulia mbu tu!! Msimu mpya Yanga itatoa vipigo vya 7G tu, ila hata Aziz Ki alipokuja maelezo ya hasara za kihasibu yalikuwa hayahaya!

Ukweli Yanga ni timu kali kwasasa mchezaji akija akafit kwenye mfumo anawaka kweli kweli mf Mudathir wa Azam si Mudathir wa Yanga, huyu Dube siku akiwaka , Yanga itazionea sana underdogs kama Simba, JKT, ihefu nk, si ajabu tukaona minara ya 6G au 7G

Mi bado namkubali sana Kennedy Musonda kuliko Guede, iwapo watacheza double striker Dube na Musonda nyuma yao kuna Chama, Ki Aziz, Max, Pacome,Mudathir na Aucho , Yanga itakuwa hatari zaidi ya danger itakuwa ni kupiga tu my wetu 7G bila huruma!

Yanga ya msimu ujao ni kali hapa bongo tunawaonea tu ni vizuri tukiomba mechi na PSG kupitia Hakimi kwa kuwaonesha lile bao la Aziz Ki dhidi ya Mamelodi!!
Ngumu kupata minara 5 na 7. Shida ya vitimu vyetu hivi vitakamia vijikusanye nyuma ili visifungwe magoli mengi.
 
Back
Top Bottom