Kihasibu:Yanga Kumnunua Prince Dube kwa 520M ni hasara.

Sawa Muhaseeb ...
 
Chai
 
Mwisho wa Msimu tutakuja kufanya hitimisho la Kihasibu kila tuone kama utakuwa Mwasibu mpya JF na kupata nafasi Moja kwa Moja ya kuingia katika jopo la Wahasibu.
Naunga mkono hoja 🤣 😁 😁 😁 😁 😁
 
Mwisho wa Msimu tutakuja kufanya hitimisho la Kihasibu kila tuone kama utakuwa Mwasibu mpya JF na kupata nafasi Moja kwa Moja ya kuingia katika jopo la Wahasibu.
Ndugu yangu mwenzio nikajua huu ni ule uzi wa kihasibu wa siku zote kumbe huu ni mwingine. Lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…