Kihasibu Yanga wamepata faida iliyofichwa kwa kupandisha matumizi, Mfano ni kipengere cha mishahara ya bilioni 7.3

hayo mapato mengine ya 5.49b ni yepi?
au ndio pesa za gsm na matajiri wengine kina samia?
 
Gharama za kifedha na compliance wanamaanisha nini? Janja janja tu
 

Kwa matumizi haya halafu mtu kala mihogo yake huko anasema hatumtaki Moh, hatumtaki GSM, tuachieni team yetu!PUMBAF KABISA!Mnadhani kuendesha team ni matako kila mtu anayo!shenzi kabisaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…