Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ninavyomjua Mganga wa Mwigulu akiondolewa hapo alipo Nitaukweka ( Nitakunya ) East Africa nzima na hata Kusini.Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Mimi nitatembea uchi hadharani siku tatu mfululizo na kunya hovyohovyo halafu najiua.Kwa ninavyomjua Mganga wa Mwigulu akiondolewa hapo alipo Nitaukweka ( Nitakunya ) East Africa nzima na hata Kusini.
Future Possible Tense.Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Kihenzile huyuhuyu ambae kushawishi lami iwekwe kati ya Mafinga na Mgololo ameshindwa?! Au Kihenzile who?!Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Uwaziri wa Nchemba haufiki Dec ya ya mwaka huu, dalili zinaonekana baada ya Makamba kufurushwa,Mwigulu hawezi kuwekwa kando hata iweje.
Huko kwa Kihenzile lolote lawezekana.
Mara ya mwisho mchaga kuwa waziri wa fedha nadhani ilikuwa kwa Basil Pesambili Mramba na nadhani alikuwa mbunge wa Rombo kama ilivyo kwa Proffesor Mkenda. Mimi binafsi naona Mkenda anafaa tena sana kupewa hiyo wizara ya fedha na mipango huyu Mwigulu tumeshachoka majivuno yake.Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Akifurushwa tu, mwezi hauishi kuna timu zitakosa mishahara ya wachezaji,Kwa ninavyomjua Mganga wa Mwigulu akiondolewa hapo alipo Nitaukweka ( Nitakunya ) East Africa nzima na hata Kusini.
Yani tunapewa code hapa mfumo wa swali.
Mkenda ni mdogi sana kwa mwigulu kw briliance ya uchumi. Kumbuka mwigulu alipata first class ya uchimi pale udsm wakati mkenda ana upper second tuJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Mbona kama ni swali lenye majibu.Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Ni vitu havishabiani hata kidogo.Mkenda ni mdogi sana kwa mwigulu kw briliance ya uchumi. Kumbuka mwigulu alipata first class ya uchimi pale udsm wakati mkenda ana upper second tu
Acha zako wewe sio swali Hilo.... Unajua kabisa ni mkeka mpya ..😄😄Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Akili ya mtu ni performance usunifurahishe kwa vile ulifeli sena umepata zari la kuwa na hela kama makonda ambaye ana zero ya form four lakini ana hela. Lakini mara nyingi watu wa hivyo huwa ni wachawi sana mana akili hawana ila nguvu yao ipo kwingineNi vitu havishabiani hata kidogo.
Kuna jamaa huko Twitter anajiita TANZANIA ABROAD TV Huwa anachukua post zako na za wengine anapost huko na hii ameshapostJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Nadhan tuna vyanzo sawa Kuna muda nilipost jambo muda huo huo naona naye kashapost, na kuna muda Alipost baada ya dakika kadhaa nikapost, nikaja gundua atakuwa kwenye GOT moja namiKuna jamaa huko Twitter anajiita TANZANIA ABROAD TV Huwa anachukua post zako na za wengine anapost huko na hii ameshapost