Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri?

Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri?

Kumbuka Mkenda ni mchaga. Hilo tu ndo litamwaribia. Kimei asingekuwa mchaga leo angekuwa waziri wa fedha na uchumi. CCM hadi leo wanajuta kumpa Basil uwaziri wa fedha wanadai alijaza sana wateule wayahudi wa Tanzania TRA.

darcity Accumen Mo johnthebaptist Etwege
Umewasagia kunguni meku ,wachaga siku hizi hatutaki pesa tena tunataka tu mbege hatuna shida tupewe kitengo.
 
Back
Top Bottom