Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 sio mtu mmoja lakiniNadhan tuna vyanzo sawa Kuna muda nilipost jambo muda huo huo naona naye kashapost, na kuna muda Alipost baada ya dakika kadhaa nikapost, nikaja gundua atakuwa kwenye GOT moja nami
Magwiji wa uchambuzi wa fasihi tumekuelewa!!Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Tuna Waziri wa fedha kilaza yeye anawaza kufanya taxation economy rather than production economy!!Mimi mwigulu atupishe tu. Hana faida wala faida yoyote kwa nchi hii..
Januari dollar ilikuwa 2300 leo hii 2700. Na kunawaziri anakula mshahara. Inflation zote hiz mnakosa hata solution?
Hata kuanzisha pochi la biashara ndani ya mobile money. Watu walipe kwa Mpesa kila mahali mnashindwa? Mzunguko wa pesa kuwa digital ili muondoe ufujaji wa hela na money loundering.
Kenya wanapitia kipindi kigumu sana. Lakini kwa kuwa wanamfumo mzr wa mobile banking hela yao haitetereki.
😂😂Muda utaongea
Umeanza kuwashwa?Cute Wife a.k.a Nikki wa Pili
Kukwambia ukweli ni kero kwakoUmeanza kuwashwa?
Ukweli hunijui na huwezi nijuaKukwambia ukweli ni kero kwako
Wewe ndio cute wife na ndio nikki the secondUkweli hunijui na huwezi nijua
Ndio maana ya fake id
Tuliza wenge, cute wife ndio Lamomy, yupo ukiwa na shida nae mtafuteWewe ndio cute wife na ndio nikki the second
Unanikosea, ile id ya cute wife siitumii mimi unajua vizuri.!!Tuliza wenge, cute wife ndio Lamomy, yupo ukiwa na shida nae mtafute
Alafu usikomalie sana mm sio nikki, kama umempenda sana nikki mpelekee usianze kuzunguka zunguka
Usikaze sana ubongo, nilichomaanisha aliyekua anaitwa cute wife ndio Lamomy kwa sasa. Huyo aliyeamua kufungua I'd mpya na kujiita hivyo kwa sasa sijui na sijamaanisha ni wwUnanikosea, ile id ya cute wife siitumii mimi unajua vizuri.!!
Sasa kusema lamomy ni cute wife sijui unataka kumaanisha nini??
Yani sasa hv yupo anapikwa kwenyw chungu cha moto kaiva ndembendembeMzee wa kibendera baada ya kusoma huu uzi fasta kampigia simu mganga wake.
Hahahaha Tayana tulia, kaombee mapepo.Mkuu unambishia britanicca 🤣
Uwe unaangalia watu wa kuwabishia
kwasababu ana siri zao nyingi za namna mipesa inavyochotwa au kwasababu gani? manake siku zote anawasapoti sana. utafikiri sio mtanganyika.Mwigulu hawezi kuwekwa kando hata iweje.
Huko kwa Kihenzile lolote lawezekana.
Kukaza ubongo kunahusiana nini na nilichokwambia?Usikaze sana ubongo, nilichomaanisha aliyekua anaitwa cute wife ndio Lamomy kwa sasa. Huyo aliyeamua kufungua I'd mpya na kujiita hivyo kwa sasa sijui na sijamaanisha ni ww
Naamini umenielewaKukaza ubongo kunahusiana nini na nilichokwambia?
Sasa unamwambia anitafute mimi ili iwe nini?? Kulikuwa na umuhimu gani wa kunitaja?
Km uliona hamuelewani si ungempotezea
Sijapenda hizi mambo ndio zilisababisha nikaungwa na id ya penseli, naona unayaanza upya.!!Naamini umenielewa
Ww ni mgumu sana wa kuelewa, ngoja nikuacheSijapenda hizi mambo ndio zilisababisha nikaungwa na id ya penseli, naona unayaanza upya.!!
Mlijibizana siku ile na penseli km hivi.!!
Ile id ilifutwa member mwingine akajisajili na lile jina na wewe unaanza kusema cute wife ni lamomy ili iweje??