Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri?

Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri?

Mimi mwigulu atupishe tu. Hana faida wala faida yoyote kwa nchi hii..

Januari dollar ilikuwa 2300 leo hii 2700. Na kunawaziri anakula mshahara. Inflation zote hiz mnakosa hata solution?
Hata kuanzisha pochi la biashara ndani ya mobile money. Watu walipe kwa Mpesa kila mahali mnashindwa? Mzunguko wa pesa kuwa digital ili muondoe ufujaji wa hela na money loundering.


Kenya wanapitia kipindi kigumu sana. Lakini kwa kuwa wanamfumo mzr wa mobile banking hela yao haitetereki.
Tuna Waziri wa fedha kilaza yeye anawaza kufanya taxation economy rather than production economy!!
 
Tuliza wenge, cute wife ndio Lamomy, yupo ukiwa na shida nae mtafute

Alafu usikomalie sana mm sio nikki, kama umempenda sana nikki mpelekee usianze kuzunguka zunguka
Unanikosea, ile id ya cute wife siitumii mimi unajua vizuri.!!
Sasa kusema lamomy ni cute wife sijui unataka kumaanisha nini??
 
Unanikosea, ile id ya cute wife siitumii mimi unajua vizuri.!!
Sasa kusema lamomy ni cute wife sijui unataka kumaanisha nini??
Usikaze sana ubongo, nilichomaanisha aliyekua anaitwa cute wife ndio Lamomy kwa sasa. Huyo aliyeamua kufungua I'd mpya na kujiita hivyo kwa sasa sijui na sijamaanisha ni ww
 
Usikaze sana ubongo, nilichomaanisha aliyekua anaitwa cute wife ndio Lamomy kwa sasa. Huyo aliyeamua kufungua I'd mpya na kujiita hivyo kwa sasa sijui na sijamaanisha ni ww
Kukaza ubongo kunahusiana nini na nilichokwambia?
Sasa unamwambia anitafute mimi ili iwe nini?? Kulikuwa na umuhimu gani wa kunitaja?

Km uliona hamuelewani si ungempotezea
 
Sijapenda hizi mambo ndio zilisababisha nikaungwa na id ya penseli, naona unayaanza upya.!!
Mlijibizana siku ile na penseli km hivi.!!
Ile id ilifutwa member mwingine akajisajili na lile jina na wewe unaanza kusema cute wife ni lamomy ili iweje??
Ww ni mgumu sana wa kuelewa, ngoja nikuache
 
Back
Top Bottom