britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
- #121
Upo bibie, za masikuHili pdf likitoka, nitalewa hadi raha......
Britanicca
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo bibie, za masikuHili pdf likitoka, nitalewa hadi raha......
Professor Adolf Mkenda ni GURU LA UCHUMI.Kumbuka Mkenda ni mchaga. Hilo tu ndo litamwaribia. Kimei asingekuwa mchaga leo angekuwa waziri wa fedha na uchumi. CCM hadi leo wanajuta kumpa Basil uwaziri wa fedha wanadai alijaza sana wateule wayahudi wa Tanzania TRA.
darcity Accumen Mo johnthebaptist Etwege
Mkenda hafai fedhaJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
We mzee mbona kama unataka kututoa kwenye reli. Unafuta mafaili yako sio? 😀😀😀Je inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Kuota si vibayaJe inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu mwigulu akawekwa pembeni ili adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
CCM wanayo sana. Usijaribu kupinga na kuteteaProfessor Adolf Mkenda ni GURU LA UCHUMI.
Huyu ni Mwanafunzi wa Prof Ibrahim Lipumba ambaye ni Maktaba ya UCHUMI.
Tanzania hajawahi kuishi kwenye falsafa za kikabila na hata kama imewahi kuwepo dhana ya namna hiyo ukweli ni kwamba siyo mpango au tuseme siyo sifa ya Nchi yetu.
Kazi na iende mbele britanicca
Hakuna cha ajabu mbona, nafasi za kisiasa si ni watu wanabadilishana tu? no security of tenure kwa ngazi zingine zote ukiacha Rais na Makamu wake, acheni uchoro kumwazia mtu eti kuondolewa Uwaziri, kwani itakuwa mara ya kwanza?Je, inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri’s wa Elimu?
Alafu Mwigulu akawekwa pembeni ili Adolfu Mkenda akawa wa fedha ??
Ni swali tu
Nipo bro, ni nzuri sana.....Upo bibie, za masiku
Britanicca
mixer chale za kutosha kwenye makalio ikiwa kama ishara ya kuwekwa milele kwenye wadhifa 😀 😀 😀Yani sasa hv yupo anapikwa kwenyw chungu cha moto kaiva ndembendembe
Haya makaratasi ya shule hakuna mtu mwenye haja nayo, tunataka implimentation.Mkenda ni mdogi sana kwa mwigulu kw briliance ya uchumi. Kumbuka mwigulu alipata first class ya uchimi pale udsm wakati mkenda ana upper second tu
Unamtoje Mwigulu Wizara ya fedha?Je, inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri wa Elimu?
Alafu Mwigulu akawekwa pembeni ili Adolfu Mkenda akawa wa fedha?
Ni swali tu
Wizara siyo ya Baba yake, kwenye mabasi ya Easter ndio huwezi kumtowa hizo ni mali banafsi lakini siyo kwenye ofisi za umma.Unamtoje Mwigulu Wizara ya fedha?
Bwana Mongolia umeanza tena Ukabila lini? Je Wasukuma wote wanatabia inayofanana? Tuache stereotyping.Kumbuka Mkenda ni mchaga. Hilo tu ndo litamwaribia. Kimei asingekuwa mchaga leo angekuwa waziri wa fedha na uchumi. CCM hadi leo wanajuta kumpa Basil uwaziri wa fedha wanadai alijaza sana wateule wayahudi wa Tanzania TRA.
darcity Accumen Mo johnthebaptist Etwege