Kihenzile na Mkenda inawezekana wakawa Mawaziri?

Je, inawezekana akaja Rais hapo baadae akamteua Mr Kihenzile akawa Waziri wa Elimu?

Alafu Mwigulu akawekwa pembeni ili Adolfu Mkenda akawa wa fedha?

Ni swali tu
Mheshimiwa Mkenda anafaa kabisa kuwa Waziri wa Fedha.Ni muadilifu na mwenye msimamo hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…