#COVID19 Kihongosi: Polepole uwe na nidhamu na adabu kama ulivyokuwa Awamu ya Tano

Njaa mbaya sana ! kila kapuku wa ccm kaagizwa kuleta uzi huu jf , hivi ni kweli mnalipwa tsh elfu 7 kwa wiki ?
Ndugu RBC ni kweli wewe una fedha nyingi.....

Biashara ulizonazo ndani na nje ya nchi si kigezo cha sisi wengine kutokuwa na fedha "kiduchu" ambayo ni halali ya kututimizia mahitaji yetu muhimu ya kila siku.....

Kweli sina utajiri ulionao wewe na familia yako na hwenda nisiufikie ukwasi wako mpaka naingia kaburini ila si sababu ya kila UCHAO kututukana raia wenzako kuwa ni MAKAPUKU.......

Niishie hapa bibie tajiri!

#KaziIendelee
#SiempreCCM
#TujitokezeniKuchanjwa
#NchiKwanza
 
Kwanini mnatumikishwa kibwege sana ! uzi mmoja watu 100 kweli !
 
Kwanini mnatumikishwa kibwege sana ! uzi mmoja watu 100 kweli !
Mkuu RBC...

Kwa hiyo kila anayeandika uzi humu ndani anatumikishwa?

Una ushahidi ama unaongea kihisia tu kwa sababu ya kiburi cha fedha ulizonazo?!
 

Wazembe hawa. Wajifunze kuishi kama watu wa dini tofauti. Hata kama kuna mapungufu na makosa ya kiuelewa, they all are acting in good faith. Wote dhamira yao ni moja: Kumuokoa Mtanzania asiangamie.

Mmoja anaamini kukubali wito wa chanjo ni kukubali wito wa kumuokoa Mtanzania na mwingine naye anaamini kukataa wito wa chanjo ni kukataa wito wa kumuangamiza Mtanzania!
 
Nyuzi za wachumia tumbo wenzako kuhusiana na hili umeziona ?
Tajiri RBC....

Niendelezee tu kiburi na maneno yako ya kedi.....🤣

Ninyi mnapopost thread mara 20 kwa kurudia maudhui HAYOHAYO kamwe hamchumii tumbo.....

Nimeipost thread kwa kusisitiza na ndio maana ndani yake "nimeongeza maneno yangu" mbali na alichosema mh.Katibu Mkuu wetu!
 
Umeandika kihunihuni ila nimekuelewa.
Nipo na Polepole.
Chanjo ni hiari.
Mimi ni mwanaCCM kwelikweli. Ila kwa hili,Big NO.
 
P0lepole anajijua nasi tunamjua. Pp hana uwanaharakati bali ni mwizi na mlaghai. Magufuli amemuondoa kwenye wadhifa wake ccm na kumteuwa ubunge baada ya kugundulika alitumia wadhifa wake kuchukua rushwa na kupendekeza baadhi ya wagombea ubunge wapitishwe.

Na pia aliiba pesa nyingi sana wakati wa uchaguzi kwa kutoa mahesabu ya gharama za uongo.

Mama hamtaki hata kumaikia tena amletea kichefuchefu.
 
ka polepole katakuja kufukuzwa chama kakoswe pa kujishikiza hizi takataka sijui JPM aliziokotea wapi
 
Vipi hajamuonya gwajiboy Mzee wa verse moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…