Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Puttin yuko fluent KWENYE lugha zaidi ya tano, lakini siku zote hutumia Kirusi kuwasiliana, sasa huyu anashindwa Nini? Aibu kwake na kwa taifa zimaShame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
Puttin yuko fluent KWENYE lugha zaidi ya tano, lakini siku zote hutumia Kirusi kuwasiliana, sasa huyu anashindwa Nini? Aibu kwake na kwa taifa zima
hukuona ile yake na mu-7 akataka kumpiga mwandishi wa habari?Kinge ndo barrier ya mtu kutosafiri nje. Hakuna lingine. Imagine unapata video anaongea na Bojo. Wallah tungevunjika mbavu humu.
woga wako ndio utumwa wako,Mie simo mkuu, maana ya Ben8 bado yapo
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
Hiyo PhD aliipataje? Kuna tatizo mahali, ukweli lazima usemwe.Shame on you!Majanga kitu gani! lengo lako kumdhalilisha rais wetu toka hapa wewe unajua kiingereza!.Maendeleo hayaletwi na kiingereza!
we una angalia kingereza embu angalia alichoenda kukifanya kule malawi kina faida sana kwa taifa ndugu,.... swala la upanuzi wa bandari ya mtwara litaleta ajira kwa vijanaaa, miji kama ya nyasa itachangamka sanaa kibiashara,... ujenzi wa HEP project ni faida pia kwa taifa ..kingereza sio issue bro ata putin hajui english
Si awe anaongea kiswahili tu. Mimi sijui kiingereza ndo maana napiga kiswahili tu hapa.
Mwanaume kujua kiingereza ni ushoga uliotukuka.
Hiyo PhD aliipataje? Kuna tatizo mahali, ukweli lazima usemwe.
We boya, huyo ni icon ya Taifa.Hivi wewe na kiingereza chako umefaidika na nini haswaa, wakati kuna wa standard 7 na form 4 wanakula life vizuri sana huku mitaani,, wenye degree zao tunao huku mitaani wamegeuka kuwa omba omba,,juzi kati hapa mwanachuo ameajiriwa na wabodaboda, na isitoshe mwingine ameomba kazi hata ya kuchunga ng'ombe.
Kwahiyo mafanikio hayaletwi na kiingereza, bali ni akili, juhudi, na uaminifu, hapo ndio utafaulu.
Kiingereza ndo nini? We baki na kujua kwako lugha huku ukitembeza nyapu (kudanga) wakati mwenzio analala kwenye kiyoyozi. Bloodfool wewe...
Chaggadema hao hawana jipya, kazi kukosoa tu.
We boya, huyo ni icon ya Taifa.
Mpuuzi kweli kweli wewe, kwa hiyo makonda hana vyeti vya kufoji? Daud Bashite ni nani?Mlishakaririshwa nyie, makonda mlimsema sana mara oh hajasoma, sijui amefoji certificate lakini hakujawahi kutokea mchapa kazi kama yeye, nyie na degree zenu mnaishia kufanya kazi za ndani uarabuni na kuchunga ng'ombe,,,mkipewa nafasi ya makonda mnachemsha.
Kujua urefu wa barabara, idadi ya samaki na madaraja kuna faida gani kwa mkazi wa Namanga ?msukuma mwenzangu huyu, wote hatujui kingereza, ndio maana hata nje hatusafiri, na tungekijua mngekoma, yaani kujua urefu wa barabara na idadi ya samaki tunasumbua nchi nzima, je kingereza tungekijua?
Bojo angeshangaa kusikia jamaa ni Rais wa koloni lao la zamaniKinge ndo barrier ya mtu kutosafiri nje. Hakuna lingine. Imagine unapata video anaongea na Bojo. Wallah tungevunjika mbavu humu.