Kiini cha Falsafa, dini za Uislamu na Ukristu ni Afrika

Kiini cha Falsafa, dini za Uislamu na Ukristu ni Afrika

Hupati jibu toka kwa waislam milele,Sana Sana subiri picha za mashoga Kama kujibu hilo...

Allah akiapia ktk qur an hamanishi anamshirika,ila anakusudia jambo linalokuja ni zito sana,pia anahitaji anaowambia wapate attantion!
 
Topic hii ilifungwa, namshukuru moderator kwa kuifungua.
Nisingependa kuingia sana kwenye dini, ningetaka kuendelea na falsafa na sayansi lakini ngoja nijibu hoja moja iliyotelewa na mwanajamvi kwamba kiini cha ukristo uislam sio agano la kale.
Ishmael Kasema hivi:

“Msingi wa Ukristo upo katika Agano Jipya na sio la Kale. Zaidi ya hapo Ukristu sio dini bali ni ufuasi wa Mungu. Msingi Mkuu wa Ukristo ni Yesu Kristo ambaye ni Mungu Mkuu.
Zaidi ya hapo, msingi wa Uislam haupo kwenye Agano la Kale. Kwenye Uislam hakuna 10 Commandments. Kwenye Uislam hakuna Mungu bali Allah ambaye ni Mpinga Mungu.”

Ishmael, Bila dini ya wayahudi kusingekuwa na ukristu wala uislamu. Ndio maana wasomi wanauita uislam na ukristu ‘Abrahmic religions’ Yesu katika mahubiri yake aliongelea agano la kale mpaka kuna wakati alisema hakuja kupindua sheria bali kuikamilisha. Kwa waislamu ni hivyohivyo, Utamaduni wa waislamu unasema kwamba Kwa waislam Abraham ni mmoja wa manabii wanaomkubali.
Kwa hiyo bila uyahudi kusingekuwa na Uislamu au Ukristu. Waislamu na Wakristu walibadilisha/ kuongeza mafundisho wa wayahudi .

Nitaendelea kama hakuna maswali zaidi.
 
Kwa hiyo mwislamu bila dini ya wayahudi ni ' Headless chicken' yaani kuku asiyekuwa na kichwa
Mkristu bila dini ya wayahudi vilevile ni ' Headless chicken' yaani kuku asiyekuwa na kichwa
Na mwisho Myahudi/ agano la kale bila Tamaduni au dini za waafrika (wamisri) ni ' Headless chicken' yaani kuku asiyekuwa na kichwa.

Nitaendelea.
 
Ukristo na usengee kama UISLAM na TENDE
 
Hii issue ya binadamu kutumia mawazo ya wengine kuyatumia na kufanya ya kwao ni jambo lililoanza zamani. Mfano mzuri wa kisasa angalia wamarekani na kwa jinsi walivyokwenda mwezini.

Wamarekani bila sayansi ya roketi ya wajerumani wasingeweza kwenda mwezini.
Baada ya vita kuu ya dunia, wamarekani walichukua wataalamu wa sayansi ya roketi ya wajerumani ( waliokua na utaalamu wa rketi ya V2) na kuwatumia haohao
kuuna roketi za kuwapeleka mwezini.

Mjerumani Wernher von Braun na na wataalamu wengine wa kijeerumani walipelekwa Marekani na ndio walewale waliotumiwa kuunda roketi iliyowapeleka wamarekani mwezini.

Kwa nama hiyohiyo wayahudi na wa wagiriki waligeza dini na sayansi za waafrika, ambazo zilibadilishwa mpaka tunavyoona zinavyofanana sasa hivi. Wagiriki wanaeleza hivyo kwenye vitabu vyao, hawafichi.
 
Kwa imani na uchunguzi wangu sidhani kama hizi dini zinatuhusu sie waafrika. Judaism, Islam & Christianity ni za wenyewe and has nothing to do with waafrika sie tumeletewa tu kwa manufaa ya wazungu na waarab na nyote mnajuwa nini walichokifanya kwa mababu zetu. Kumuita mtu atheist ni ujinga kwani hilo neno limeundwa tu ili ku diminish other people's faith. Duniani hakuna atheist kwani kila mtu ana imani yake, si lazima kuwa mkristu au muislam ili umjuwe Mungu kwani mwisho wa siku si kila muumini ataona wokovu. Sote ni wana wa Mungu na Mungu habaguwi wanawe ila sie viumbe dhaifu ndio tunabaguana kushindania dini ya nani ndiyo bora. Afrika tuna imani zetu za asili na wala hatuhutaji hizi dini za kuletewa kwani ndiyo chanzo cha migogoro mingi hapa Afrika. Mungu ashukuriwe.
 
Mkuu Mzee2000 nimesoma post zako lakini napata kuona ya kwamba unajaribu sana kulazimisha jambo ambalo halilazimiki.
Kuna makabila zaidi ya 200 Afrika, sasa eti kwa sababu kati ya hayo kuna ambayo wanatahiri na hivyo basi Moses na Abraham kuiga hio tamaduni ya kutahiri basi kunaufanya Uyahudi kuwa na source ya Black Africans pamoja na Ukristo na Uislam is a very very far fetched idea.
Ni sawa na mtu aje aseme chimbuko la kingereza ni kiswahili sababu kwenye kingereza kuna neno "safari".

Sijui ni kwanini unataka kufanya kuwa hizi dini kuu zina originate kutoka black africans wakati vitabu vyao wenyewe havisemi hivyo na hakuna imani hata moja ya kiafrika yenye kufanana na Abrahamic religion yeyote ukiachilia mbali swala la kutahiri ambalo katika makundi hayo linabeba maana tofauti kabisa kama wewe mwenyewe ulivosema.
Kwa WaAfrika ni initiation process ya kuashiria mtoto kuwa mwanaume na kwa waYahudi waliambiwa ni ishara ya kuwatofautisha wao na gentiles.

Ni kweli historia kama ilivyoandikwa na watu wengine imekandamiza sehemu ya mwafrika lakini hii imefanya baadhi ya waAfrika kudai vitu ambavyo kwa kweli ni a stretch of the imagination sana.
Kama hili nalo ni a strech of the imagination to the limits of elasticity. Sisi waAfrika imani zetu sio monothiest, sio za kuamini Mungu mmoja bali imani zetu ni za kuamini miungu wengi kama wahindi, wachina na hata hao ma Pharaoh.
Sasa inashangaza kuwa imani ambazo msingi wake ni miungu wengi ndio ziwe chimbuko la imani za Mungu mmoja.

Halafu hoja yako unaanza kuijenga kwenye fallacy. Yani msingi wa hoja yako yenyewe ni wa mashaka sana. Maana ili ikubalike kuwa chimbuka la Abrahamic religion ni black African religions inabidi kwanza tukubali kuwa ma Pharaoh na ancient Egyptians were black people.
Kwanza mimi namashaka na proof zenyewe ila hata kama zipo kuwepo kwa watu weusi hapa africa kuna maanisha ndio walikua waafrika hawa kama walivyo wa sasa kusini mwa sahara?
Swala la Pharaohs kuwa black africans nalo ni debatable, halafu kumbuka kuwa tunaongelea rangi ya ngozi au originality? Maana hapo kati kuna persians,arabs na wahindi weusi sana lakini sio bantus.
Unajaribu pia kuwaleta wa Ethiopia katika equation ili kujaribu kulink muafrika mweusi na Abrahamic religion. Lakini ndugu a xhosa from south africa na a shona from hapo zimbabwe wako sooo unrelated na mu ethiopia ambaye yuko karibu zaidi na wayahudi na persians.

Kwahio, hapana mwafrika mweusi kama tumjuavyo leo alishapoteza kwa kiasi kikubwa tamaduni zake, unachokifanya hapa ni kujenga a false premise ambayo badala ya kujenga inatupotezea zaidi vizazi vyetu vijavyo.


Hivyo basi mimi binafsi mpaka hapo ulipofikia sijaweza kushawishika ya kwamba kiini cha Uislam na Ukristo ni Black Africans (Bantus) kama tuwajuavyo leo! Ancient Egyptians, Ethiopians wana undugu zaidi kivyao kuliko watu weusi wa west africa, central africa na south. Hatuna chetu humo, una force.
 
Last edited by a moderator:
Kusema kuwa Moses alilelewa Misri (Afrika) na kupata mila za ki Misri na hivyo basi ni za kiAfrika ina shangaza kidogo.

UAfrika wa Misri ni wa kijeographia au ki tamaduni? Wa Misri wako karibu zaidi na waArabu/Persians na tamaduni zao zooote ni za huko. Najua hapa sasa utakuja na madai kuwa unaongelea wa Misri wa Zamani ambao unadai walikua weusi na hivyo WaAfrika!

Unajua kila race ina physical features zake, sasa ukiangalia physical features za wale ma Pharaoh waliokua mummified hawana typical Bantu African features. Nafikiri ni 1 tu kama nakumbuka vizuri nae ni utata. Na wanao support hii view ya ancient egyptians walikua blacks wanatoa hoja ingine kua ile pua ya sphinx iliomeguka ilivunjwa makusudi sababu ilikua pana na kuonyesha kuwa alikua black african!
Seriously!! Hakuna race zingine zenye pua pana.

Au tuanze kwanza MWAFRICA tunaemwongelea hapa ni yupi?

Ngoja baadae nitakua kwenye laptop ili niweze kudadavua vizuri post zako kwa mifano na vigezo. Hapa natumia simu.
 
Kusema kuwa Moses alilelewa Misri (Afrika) na kupata mila za ki Misri na hivyo basi ni za kiAfrika ina shangaza kidogo.

UAfrika wa Misri ni wa kijeographia au ki tamaduni? Wa Misri wako karibu zaidi na waArabu/Persians na tamaduni zao zooote ni za huko. Najua hapa sasa utakuja na madai kuwa unaongelea wa Misri wa Zamani ambao unadai walikua weusi na hivyo WaAfrika!

Unajua kila race ina physical features zake, sasa ukiangalia physical features za wale ma Pharaoh waliokua mummified hawana typical Bantu African features. Nafikiri ni 1 tu kama nakumbuka vizuri nae ni utata. Na wanao support hii view ya ancient egyptians walikua blacks wanatoa hoja ingine kua ile pua ya sphinx iliomeguka ilivunjwa makusudi sababu ilikua pana na kuonyesha kuwa alikua black african!
Seriously!! Hakuna race zingine zenye pua pana.

Au tuanze kwanza MWAFRICA tunaemwongelea hapa ni yupi?

Ngoja baadae nitakua kwenye laptop ili niweze kudadavua vizuri post zako kwa mifano na vigezo. Hapa natumia simu.

Haa ina maana waafrika ni jamii moja tu ya wabantu ina wakushi na hamit sio jamii yetu, bush meni na negro
 
Topic hii ilifungwa, namshukuru moderator kwa kuifungua.
Nisingependa kuingia sana kwenye dini, ningetaka kuendelea na falsafa na sayansi lakini ngoja nijibu hoja moja iliyotelewa na mwanajamvi kwamba kiini cha ukristo uislam sio agano la kale.
Ishmael Kasema hivi:

"Msingi wa Ukristo upo katika Agano Jipya na sio la Kale. Zaidi ya hapo Ukristu sio dini bali ni ufuasi wa Mungu. Msingi Mkuu wa Ukristo ni Yesu Kristo ambaye ni Mungu Mkuu.
Zaidi ya hapo, msingi wa Uislam haupo kwenye Agano la Kale. Kwenye Uislam hakuna 10 Commandments. Kwenye Uislam hakuna Mungu bali Allah ambaye ni Mpinga Mungu."

Ishmael, Bila dini ya wayahudi kusingekuwa na ukristu wala uislamu. Ndio maana wasomi wanauita uislam na ukristu ‘Abrahmic religions' Yesu katika mahubiri yake aliongelea agano la kale mpaka kuna wakati alisema hakuja kupindua sheria bali kuikamilisha. Kwa waislamu ni hivyohivyo, Utamaduni wa waislamu unasema kwamba Kwa waislam Abraham ni mmoja wa manabii wanaomkubali.
Kwa hiyo bila uyahudi kusingekuwa na Uislamu au Ukristu. Waislamu na Wakristu walibadilisha/ kuongeza mafundisho wa wayahudi .

Nitaendelea kama hakuna maswali zaidi.


Post yako ya awali, hii hapa chini inasema kuwa na au ulidai kuwa Msingi wa Ukristo ni upo kwenye agano la kale. La hasha , na nimepinga kwa ushaidi.
quote_icon.png
By Mzee2000

Tuanze na Dini.
Msingi wa uislamu na ukristu na Judaism uko kwenye agano la kale, na agano la kale linasema kwamba Musa, ambaye aliwapa amri kumi za Mungu na kuwatoa wayahudi utumwani Misri aliishi Misri ( Afrika) tangia kuzaliwa mpaka miaka zaidi ya 40. Kama aya hii inavyosema hapa chini,
Let me teach you some history and background of Christianity:

The point of origin and central figure of the Christian faith is our Lord and Savior, Jesus Christ, Son of God. Jesus was born of the virgin Mary in Bethlehem (Matthew 1:18f), in fulfillment of the prophecies of the Scriptures, such as Isaiah 7:14 and Micah 5:2. To avoid Herod and the Slaughter of the Innocents, Joseph took flight to Egypt with Mary and the infant Jesus. Upon their return, they settled in Nazareth, where Jesus grew and spent his childhood and early years as an adult. Hardly anything is known of his life at that time except that he was called a Nazarene (Matthew 2:23) and that at age 12 he was found teaching in the Temple in Jerusalem (Luke 2:41).

That is why I am repeatedly saying: CHRISTIANITY IS NOT A RELIGION.

Luke 6:47-48 - Whosoever cometh to Me, and Heareth MY SAYINGS, and DOETH THEM, I will show you to whom he is like: He is like a man which built an house, and digged deep, and laid The Foundation on A ROCK: and when the flood arose, the stream beat vehemently upon that house, and could not shake it: for it was founded upon A ROCK.


I Corinthians 3:11 - For other foundation can no man lay than that is laid, which is Jesus Christ.


I John 5:20 - And we know that the Son of God is come, and hath given us an Understanding, that we may Know Him that is True, and WE ARE IN HIM THAT IS TRUE, EVEN IN HIS SON JESUS CHRIST. This is the True God, and Eternal Life.

SO you see, the Sayings of Jesus is the foundation, or the Rock that we must build our understanding upon.
 
Allah akiapia ktk qur an hamanishi anamshirika,ila anakusudia jambo linalokuja ni zito sana,pia anahitaji anaowambia wapate attantion!

...naapa kwa Aliyeumba cha kiume na cha kike.
Swali sio Allah kuapa, swala ni kuapa kwa ...
Dadavua kwa hilo la kuapa kwa...
 
PlanckScale,

Huu ni ufinyu tu wa fikra kama kigezo cha lugha kinakutoa nje utawezaje kudadavua hoja za kiundani?

Je hicho kinyamwezi chako kinajitosheleza kichwani kwako? Je,hicho kinyamwezi chako kinatosheleza kuelezea dhana za kiimani na kihistoria kutoka katika muktadha wa kiafrika, kiarabu, kigiriki, kiebrania, kimharaki, kilatin na kimisri?

Lugha ya mkopo haiwezi kukutosheleza aidha, hakuna lugha inayoshindwa kuelezea dhana" concept" za lugha nyingine. Na ndio maana utamaduni wa kiafrika au kihindi(mf.Kigujarati) unaweza elezwa kwa kiingereza japo waingereza hawana msamiati kwa kila neno na dhana ya kiafrika au kihindi.

Wewe ulipaswa useme hivi kwa kuwa suala ninaloenda kulijadili ni pana nitalazimika kuchanganya msimbo. Hili ni jambo la kawaida katika lugha, je hivi unajua kwamba % 40 ya maneno ya kiingereza yamekopwa na kutohorewa kutoka kifaransa? Je unajua kwamba maneno ya kisayansi takribani % 80 katika kiingereza yanatokana na kigiriki na kilatini? Ndivyo kwa kijapan, kichina, kirusi nk.

Hivyo basi, ukitumia lugha ya kiswahili kujadili mada yako huku ukitupia maneno ya kirejista na kiistilahi utakuwa unaikuza lugha ya kiswahili.

Mkuu,
niwie radhi kwa kushindwa kujieleza vizuri kupitia lugha yetu tukufu ya Kiswahili.
Nitafanya jitihada kujifunza maneno ya kiswahili ambayo yatanisaidia kujieleza vizuri hasa kwenye nyanda za kisayansi, teknologia, na falsafa.
 
Wandugu.

Katika topic hii nitathibitisha kuwa, kiini cha hizi dini ambazo waafrika wengi hasa hapa Tanzania na Afrika kwa ujumla tunazozifuata zina kiini Afrika. Kwa maana hii, namaanisha, waisraeli waligeza mawazo ya Mungu ya Afrika na kuyageuza kuwa mawazo yao na mwisho kuyageuza/ distortion mawazo yetu na kuturudishia sisi katika form ya ukristu/ uislamu.

Vilevile nitaongelea falsafa ya wagiriki na nitaonyesha kuwa kiini cha hii falsafa( kwa mfano aristotle, socrates) ni Afrika hasa ya weusi, hasa misri ya kale.

Nitakaribisha wasomi wote hasa wa falsafa kutoka seminari kwa mawazo yao.

Nitaendelea, Nakaribisha hoja.

kuna ukweli kiasi .na ukweli ni kwamba waafrika wanaimani ya kweli ya kuamini na kukubali jambo tangia zamani kwa hoja .lakini kwasasa wameiacha njia sahihi kwasababu ya uvivu wa kuchambua hoja.

matokeo yake wamebaki na mambo machache yanahusisha dini moja ya asili ya binaadamu alioiridhia mwenyezimungu kutokana maumbile alioumbia watu.
 
...naapa kwa Aliyeumba cha kiume na cha kike.
Swali sio Allah kuapa, swala ni kuapa kwa ...
Dadavua kwa hilo la kuapa kwa...


Unashangaa ALLAH kuapa ?
Unajua maana ya ELIZABETH.

Elizabeth ni jina la kike lenye asili katika Biblia. Marejeo yake ni Mtakatifu Elizabeth aliyekuwa mama wa Yohane Mbatizaji. Umbo asilia katika lugha ya Kiebrania ni elisheva (אֱלִישֶֽׁבַע ) lenye maana ya "Mungu anaapa" au "Mungu
wa kiapo". Watu.

Naomba hoja ya msingi.
 
Unashangaa ALLAH kuapa ?
Unajua maana ya ELIZABETH.

Elizabeth ni jina la kike lenye asili katika Biblia. Marejeo yake ni Mtakatifu Elizabeth aliyekuwa mama wa Yohane Mbatizaji. Umbo asilia katika lugha ya Kiebrania ni elisheva (אֱלִישֶֽׁבַע ) lenye maana ya "Mungu anaapa" au "Mungu
wa kiapo". Watu.

Naomba hoja ya msingi.

Mbona unarukaruka na kuizunguka hoja ?! Mungu kuapa haina tatizo, tatizo ni pale Allah mnayemuitikadi kwamba ni Muumba yeye anaapa kwa Aliyeumba cha kiume na cha kike.
Kiapo chake kinaonesha Allah anaye Mkuu kuliko yeye ndiyo sababu kamtaja huyo muumba cha kike na cha kiume kwa kuwa ndiye Mkuu kwake.
Mungu ninaye mwabudi Mimi anaapa kwa nafsi yake kwa kuwa hskuna Mkuu kuliko yeye !
Allah yeye vipi ?
 
Mbona unarukaruka na kuizunguka hoja ?! Mungu kuapa haina tatizo, tatizo ni pale Allah mnayemuitikadi kwamba ni Muumba yeye anaapa kwa Aliyeumba cha kiume na cha kike.
Kiapo chake kinaonesha Allah anaye Mkuu kuliko yeye ndiyo sababu kamtaja huyo muumba cha kike na cha kiume kwa kuwa ndiye Mkuu kwake.
Mungu ninaye mwabudi Mimi anaapa kwa nafsi yake kwa kuwa hskuna Mkuu kuliko yeye !
Allah yeye vipi ?

Si kama narukaruka ila uwezo wangu ni kusafisha mazingira.kwamfano ili uweze kuzima moto unatakiwa uondoe oxygen na kile kinacholiwa na moto.

Sasa kama unauelewa ni vizuri kama ungeanzia kwa ELIZABETH wa kwenye biblia tuweze kuona huyo MUNGU wa kiapo alikuwa anaapa kwa Mungu gani? Na alikuwa anaapaje? Maana Biblia yako haiwezi kutaja jina la uongo wala neno lenye maana ya uongo.


Elizabeth ni jina la kike lenye asili katika Biblia. Tunaomba majibu ya kibiblia ndio yataeleweka zaidi.
 
Back
Top Bottom