Kiinua mgongo cha Wabunge chashushwa toka Milioni 238 kuwa Milioni 130!

Kama wamelamba pesa zote za umma unashangaa na hilo mkuu.


swissme

Mwisho wao ndio huooo unawadia na kwa kosa lao leo kushindwa kupitisha mambo ya walimu,wamejipalia kaa la moto
 
kweli maccm hayana dogo.Yote majizi na bi kiroboto jambazi namba moja.Bora akuolewa na kuzaa tungekoma ageiba mpaka chupi zetu
 
ukitaka kukamua ng'ombe mpe concentrate. wabunge waliahidiwa concentrate badala yake watapata mashudu shauri yao na serkali yao
 
Labda kana ujauzito jamani

Loooh, ujauzito katika umri huo wa miak 66 awe mjamzito????? au ni kwa miujiza kama mimba ya Bibi Elizabeth mama wa Yohana mbatizaji na mke wa nabii Zacharia???
 
Hata Kafulila alitukanwa ndani ya Bunge na kutishiwa kupigwa na yule Tumbili mwizi mara baada ya kutujuza Watanzania kashfa nzito ya Escrow na kuitwa mzushi mkubwa, lakini penye ukweli uongo hujitenga. Sasa ukweli kuhusu escrow tunaujua.

Ukweli una tabia ngumu sana! Haujali unasemwa na nani-na mkubwa au mdogo, tajiri au maskini, mzee au mtoto, rafiki au adui, mwanamke au mwanaume, mwenye imani au asiyeamini, ukweli unabaki unajitegemea! Jinsi ukweli unavyokandamizwa ndivyo unavyojijengea usugu wa kutaka kujidhahirisha wazi wazi! Kinachofanyika kwa sasa ni ku-buy time ili yatakapodhihirika wengine wawe hawapo! Ni tabia ya sheria ya kihistoria!
 
kumbe wao cha msingi zaidi ni pesa na wala si maslahi ya Taifa. Ukawa wapo tayari kw lolote lile, pia wapo tayari kupoteza pesa ktk kupigania maslahi ya umma. Kama hivyo ndivyo CCM wanaweza hata kuuza nchi ili kupata fedha. Hatari sn

Hilo alilitolea ufafanuzi juzi Mh. Mkosamali alipoulizwa na Mtangazaji wa EATV katika kipindi cha Hot Mix, kwa adhabu mliyopewa na kukatwa posho na mishahara yenu je halitawaathiri? Alijibu kua wao kama Wabunge wa Ukawa hawapo Bungeni kwa ajili ya maslahi yao na pesa wako huko kwa maslahi mapana ya watanzania na akatolea mfano kipindi cha Bunge la Katiba, walitoka Bungeni bila kujali kiasi gani cha pesa ambacho wangelipwa kama posho, Hivyo wito wangu kwa wapiga kura wote nchini October tufanye maamuzi sahihi kwa ajili ya mustakabali wa maendeleo ya Nchi yetu kwani Magamba wote wametudhiirishia kua wapo kwa ajili ya maslahi yao na hii ni baada ya jana kugoma kuendelea na kikao cha kupitisha mswada waliokua wanaujadili.
 
Mwisho wao ndio huooo unawadia na kwa kosa lao leo kushindwa kupitisha mambo ya walimu,wamejipalia kaa la moto

Ukiona Mwalimu yuko CCM ujue kuna sababu kuu tatu; 1.Ameiba cheti anatumia sio chake 2.Anataka cheo 3.Anamatatizo ya akili!
 

patachimbika oktober.UKAWA oyeeeeeeeee!
 

wabunge wa ccm na spika walambishwa fedha ili miswaada ipite.
 

hivi wabunge wa ukawa walishasema chochote katika mafao hayo ya 238?. mbona tunajitoa ufahamu hapa. na wenyewe walipiga kimya wakisubir neema hakuna hata aliye raise hoja ya kupinga kutoka.ukawa na wenyewe wale wale tu. wachumia tumbo.NB. kumpata mwana siasa anaejali maslah ya ukma ni kazi sana.
 
....linalowezekana kwa mafisadi kwa ccm halina upinzani....
 
Naunga mkono hoja.ikumbukwe kuwa wafanyakazi wengine mafao yao hulipwa baada ya miezi kadhaa,au zaidi ,nao wqkilipwa baada ya uchaguzi ni miezi kadhaa tu tangu wanapokoma ubunge wao.
 
Hizo hela ambazo wamegawana si za mikopo? hela wanagawana wengine kulipa tunalipa wengine ee mungu tuonee huruma watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…