Kiinua mgongo cha Wabunge chashushwa toka Milioni 238 kuwa Milioni 130!

Kiinua mgongo cha Wabunge chashushwa toka Milioni 238 kuwa Milioni 130!

Hata hiyo milioni 130 nyingi sana ,, wapewe kiinua mgongo milioni 2 zinawatosha kwanza hakuna kazi yoyote wanayoifanya hapo bungeni zaidi ya kunywa bia na kula kuku chako ni chako
 
sasa wametimka bungeni rasmi na kwenda ukumbi wa msekwa
 
Yaani pamoja na wabunge wa Sisiemu kufanya kazi ya 'kutukuka' kwa kupitisha kwa asilimia 100 muswada ulioletwa kwa hati ya dharura wa gesi na mafuta, bado serikali imeamua kuwapiga 'teke' katika kutekeleza kwa vitendo kile kitu kinachoitwa shukurani ya punda ni mateke katika yale mafao yao, ambapo kila Mheshimiwa Mbunge alitarajia 'kulamba' shilingi milioni 230?

Ndipo hapo wabunge wa CCM wajifunze na koona faida ya kuusaliti Umma wa watanzania na kuwakumbatia wawekezaji wa nchi za nje pamoja na 'wapambe' wao hapa nchini, ambao ni watawala.

Na baba Ritz atakuwa ametundea HAKI wadanganyika pale atakapo waruka kwa asilimia 100,kwa kutosaini ule MUSWADA FEKI wa GAS na PETROL
 
Ndio maana Kigwangala aliomba muongozo kuhusu minong'ono bila kutaja minong'ono inahusu nini na bila shaka aliona aibu hata kutamka.

Mibunge ya CCM iko after money na maslahi yao tu!

Na ndo wakome ubinafsi wa matumbo yao wanavoteteaga uovu wa serikali na kuacha masilahi ya wananchi. Tena kipunguzwe zaidi.
 
Kingwangala ela yote ameimalizia kuzunguka kutafuta wadhamini wa Urais,,Jimbo lake la Nzega Bashe atalichukua kiulaini teh teh teh
 
jamani jk anataka kutuulia mama yetu ana makinda au yy kwa kuwa spika chake kipo palepale
 
kumbe wao cha msingi zaidi ni pesa na wala si maslahi ya Taifa. Ukawa wapo tayari kw lolote lile, pia wapo tayari kupoteza pesa ktk kupigania maslahi ya umma. Kama hivyo ndivyo CCM wanaweza hata kuuza nchi ili kupata fedha. Hatari sn
 
130 bado nyingi sana kwakua mshahara yao mikubwa ilitakiwa walipwe mishahara mitatu ~35m.
 
Back
Top Bottom