Kijana acha kujiita jobless, chukua hii achana na ubishoo

Haya, Rais wa majobless Tanzania nzima ndugu Intelligent businessman na makatibu wako wakuu, waweka hazina pamoja na wajumbe wako mje huku sasa.
Acheni kulia lia kuwa ajira hakuna.
Cc:
Kwanza naomba uni onyeshe ni wapi tume lia Lia kisa ajira??.

Halafu huyu hastahili jibu langu, kataka ku trend kupitia chama Cha ma jobless pro max tu.

Mimi Intelligent businessman ni raisi wa chama cha ma jobless pro max, makamu ni Bolotoba,
katibu ni min -me, wakili wa ma jobless ni Selikavu, waziri wa mambo ya ndani Thecoder, msajili wa chama Cha ma jobless ni dosho12, mratibu wa mipango ni Edo kissy

Msemaji wa chama Cha ma jobless pro max ni makutupora

Kidumu chama Cha ma jobless pro max
 
bro unataka kusema umesomea psychology?
 
Wanataka connection ya kuvaa suti
Maisha ya chuo n sawa na mtu aliyeko usingizini, ukimwambia kijana wa chuo aanze kufanya biashara yeyote hapo chuoni hata yakuuza karanga atakujibu

Bro tulia wewe hujui mchezo ngoja nimalize nikuonyeshe mchezo unavyochezwa. Baada ya mwaka mmoja kumaliza chuo utaona anakuambia bro hivi hapo kazini hatupati hata nafasi kweli
 
sijapika hii kitu siku nyingi ngoja jmos nipike tena. asante kwa kunikumbusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…