Nashukuru nimeitwa kuonja tu ningeitwa kutoa marks sijui ningetoa ngapi. Maana naona kama zinanizomea.Mwalimu naomba marks Mwachiluwi
Karibuni kula Vincenzo Jr Fake P Chaliifrancisco min -me Tate Mkuu
View attachment 3234467
Safi sana ila kina bhoke mnaweza maliza hilo sufuria lote😂Nashukuru nimeitwa kuonja tu ningeitwa kutoa marks sijui ningetoa ngapi. Maana naona kama zinanizomea.
Vaa miwani haiwezekani uone karanga zina sura mbaya.Nashukuru nimeitwa kuonja tu ningeitwa kutoa marks sijui ningetoa ngapi. Maana naona kama zinanizomea.
Zimenitisha zilivyogandiana bwana .hiyo sura mbaya wewe umeniwekea maneno 🤣🤣🤣🤣Vaa miwani haiwezekani uone karanga zina sura mbaya.
Siku Moja twende kijijini kwetu ukawafundishe kuzikaanga 🤣🤣Kuchemsha kila siku zinakinaisha badilisha ladha siku mojamoja.
Next time nikipika hazitogandiana.Zimenitisha zilivyogandiana bwana .hiyo sura mbaya wewe umeniwekea maneno 🤣🤣🤣🤣
Kawadanganya kwamba ni kibonge😁😁 nakwambia huyo mtoto kiuno nyigu
Kijiji gani hicho?Siku Moja twende kijijini kwetu ukawafundishe kuzikaanga 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Muulize tajiri Vincenzo JrNext time nikipika hazitogandiana.
Kumbe unajua kupika nilidhani unajua kuchemsha tu ndizi.
Huyo ndio nyigu mwenyewe?Kawadanganya kwamba ni kibonge😁😁 nakwambia huyo mtoto kiuno nyiguView attachment 3234494
SureHuyo ndio nyigu mwenyewe?
Tarime RebuKijiji gani hicho?
Umejitahidi sana. HongeraMwalimu naomba marks Mwachiluwi
Karibuni kula Vincenzo Jr Fake P Chaliifrancisco min -me Tate Mkuu
View attachment 3234467
Kumbe wewe ni mkurya!Tarime Rebu
Sema mtu wa nchini .Kumbe wewe ni mkurya!
Nilikua nakupenda nikijua wewe ni mchaga, kumbe sio💔Sema mtu wa nchini .