Kijana ajinyonga, aacha ujumbe mama yake aulizwe

Kijana ajinyonga, aacha ujumbe mama yake aulizwe

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
20230302_182648.jpg
 
Hakuna kitu kibaya kama mama yako kua source ya matatizo. Maana huwezi kumchukia wala kumbadirisha. Angalau baba mtaonyeshana umwamba. Baba anaweza kua yoyote ila mama hua ni mmoja pekee, ndio maan hakuna mwanamke aliyesingiziwa mtoto
 
Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Mama alimnyima hela ya kuendea guest. Mitoto ya siku hizi akili zao ziko visiginoni
 
Back
Top Bottom