raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hatari sana hii😀😀Anakuachia balaa
Hawa wanaojiua na wanaopanga kujiua ni vyema waambiwe kabisa visms vyao watakavyoacha vitapuuzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana hii😀😀Anakuachia balaa
Dogo la form two kama sio 3,ilikuwa hivi.Sasa Mama anaingiaje? Ukute alimwambia asioe ukoo Fulani.....ujinga mtupu!
Huu ndio tunauita unyama 😃😃😃Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Miaka 30 yupo O level duuh, au wamekosea kuandika umri wa kijanaDogo la form two kama sio 3,ilikuwa hivi.
Siku hio ilikuwa hakuna umeme kwao,Dogo akaomba simu kwa mama yake ili akatandike alale,akapewa alipoingia ndani akakaa muda mrefu sana na ile simu,baadae akatoka ikiwa haina chaji kabisa,akaomba tena apewe simu nyingine,ndio mama yake akamwambia acha usumbufu nenda kalale,akaondoka.
Chumba wanacholala analala na dadayake(maelezo ya mama),kwahio baadae dadayake alipoingia ndio akakuta kaka yake kajitundika,akapiga kelele.
Kwahio sijui kosa la mama ni nini hapo?nahisi huyo dogo alicharuana na mpenzi kwenye simu labda(mawazo yangu) ndio maana alikaa na simu muda mrefu.
Hii ni Audio ya mama akielezea kilichotokea,ilirushwa RFA jioni hii.
Labda kama hatujui mengine.
Huyo kauwawa, na hao waliomuua wamemframe huyo mama yake kwa sababu wanazozijua wao, uchunguzi ufanyikeKijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Nahisi kuna kosa kwenye umri,hii nimesikia jioni hii,ni dogo alikuwa bado anasomaMiaka 30 yupo O level duuh, au wamekosea kuandika umri wa kijana
🤔Wazazi wake wakajibu, "Huyo ni mtu mzima, muulizeni mwenyewe."
Ethere is no end of educationMiaka 30 yupo O level duuh, au wamekosea kuandika umri wa kijana
Ukute bimkubwa alimnyima ela ya kubetia jamaa akajitoa uhai
Tuzae tu ila ya mbele tumkabidhi yeye alie juu ya vyote!
Kamtia kwenye mtihani mkubwa sanaKijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Aisee 😂😂😂pole Sanaa binti yangu mrembo🎅
Kazi itaanzia pale ambapo mama atasema hakiamungu sijui chochote.Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Tena mtihani wa taifa unaolindwa na mapotiKamtia kwenye mtihani mkubwa sana
Kwa akili ya kawaida hiyo haiingii akilini, uchunguzi ufanyike..Dogo la form two kama sio 3,ilikuwa hivi.
Siku hio ilikuwa hakuna umeme kwao,Dogo akaomba simu kwa mama yake ili akatandike alale,akapewa alipoingia ndani akakaa muda mrefu sana na ile simu,baadae akatoka ikiwa haina chaji kabisa,akaomba tena apewe simu nyingine,ndio mama yake akamwambia acha usumbufu nenda kalale,akaondoka.
Chumba wanacholala analala na dadayake(maelezo ya mama),kwahio baadae dadayake alipoingia ndio akakuta kaka yake kajitundika,akapiga kelele.
Kwahio sijui kosa la mama ni nini hapo?nahisi huyo dogo alicharuana na mpenzi kwenye simu labda(mawazo yangu) ndio maana alikaa na simu muda mrefu.
Hii ni Audio ya mama akielezea kilichotokea,ilirushwa RFA jioni hii.
Labda kama hatujui mengine.
Mmh,, Inasikitisha kwakweliKazi itaanzia pale ambapo mama atasema hakiamungu sijui chochote.
Yaani maisha haya ......