Kijana ajinyonga, aacha ujumbe mama yake aulizwe

Kijana ajinyonga, aacha ujumbe mama yake aulizwe

Msongo wa maisha ni mkubwa sana.Sijui kasema hivyo kwa mema au mabaya.Ila kamuumiza mama aliyemleta duniani kwa mara nyingine tena.Yesu alisema "MAMA CHUNGA MWANAO,MWANA CHUNGA MAMA YAKO" ~YOHANA 19:26-27. Mwana amekataa kumchunga mama Ameamua ku quit.
 
Sasa Mama anaingiaje? Ukute alimwambia asioe ukoo Fulani.....ujinga mtupu!
Dogo la form two kama sio 3,ilikuwa hivi.
Siku hio ilikuwa hakuna umeme kwao,Dogo akaomba simu kwa mama yake ili akatandike alale,akapewa alipoingia ndani akakaa muda mrefu sana na ile simu,baadae akatoka ikiwa haina chaji kabisa,akaomba tena apewe simu nyingine,ndio mama yake akamwambia acha usumbufu nenda kalale,akaondoka.

Chumba wanacholala analala na dadayake(maelezo ya mama),kwahio baadae dadayake alipoingia ndio akakuta kaka yake kajitundika,akapiga kelele.

Kwahio sijui kosa la mama ni nini hapo?nahisi huyo dogo alicharuana na mpenzi kwenye simu labda(mawazo yangu) ndio maana alikaa na simu muda mrefu.

Hii ni Audio ya mama akielezea kilichotokea,ilirushwa RFA jioni hii.

Labda kama hatujui mengine.
 
Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Huu ndio tunauita unyama 😃😃😃
 
ulietuma uzi tujuze taarifa kamili lasivyo uzi ni invalid
 
Dogo la form two kama sio 3,ilikuwa hivi.
Siku hio ilikuwa hakuna umeme kwao,Dogo akaomba simu kwa mama yake ili akatandike alale,akapewa alipoingia ndani akakaa muda mrefu sana na ile simu,baadae akatoka ikiwa haina chaji kabisa,akaomba tena apewe simu nyingine,ndio mama yake akamwambia acha usumbufu nenda kalale,akaondoka.

Chumba wanacholala analala na dadayake(maelezo ya mama),kwahio baadae dadayake alipoingia ndio akakuta kaka yake kajitundika,akapiga kelele.

Kwahio sijui kosa la mama ni nini hapo?nahisi huyo dogo alicharuana na mpenzi kwenye simu labda(mawazo yangu) ndio maana alikaa na simu muda mrefu.

Hii ni Audio ya mama akielezea kilichotokea,ilirushwa RFA jioni hii.

Labda kama hatujui mengine.
Miaka 30 yupo O level duuh, au wamekosea kuandika umri wa kijana
 
Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Huyo kauwawa, na hao waliomuua wamemframe huyo mama yake kwa sababu wanazozijua wao, uchunguzi ufanyike
 
Ukute bimkubwa alimnyima ela ya kubetia jamaa akajitoa uhai
Tuzae tu ila ya mbele tumkabidhi yeye alie juu ya vyote!
 
Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Kamtia kwenye mtihani mkubwa sana
 
Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Kazi itaanzia pale ambapo mama atasema hakiamungu sijui chochote.

Yaani maisha haya ......
 
Dogo la form two kama sio 3,ilikuwa hivi.
Siku hio ilikuwa hakuna umeme kwao,Dogo akaomba simu kwa mama yake ili akatandike alale,akapewa alipoingia ndani akakaa muda mrefu sana na ile simu,baadae akatoka ikiwa haina chaji kabisa,akaomba tena apewe simu nyingine,ndio mama yake akamwambia acha usumbufu nenda kalale,akaondoka.

Chumba wanacholala analala na dadayake(maelezo ya mama),kwahio baadae dadayake alipoingia ndio akakuta kaka yake kajitundika,akapiga kelele.

Kwahio sijui kosa la mama ni nini hapo?nahisi huyo dogo alicharuana na mpenzi kwenye simu labda(mawazo yangu) ndio maana alikaa na simu muda mrefu.

Hii ni Audio ya mama akielezea kilichotokea,ilirushwa RFA jioni hii.

Labda kama hatujui mengine.
Kwa akili ya kawaida hiyo haiingii akilini, uchunguzi ufanyike..
 
Back
Top Bottom