Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
KabisaIla hili tukio linafikirisha kidogo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaIla hili tukio linafikirisha kidogo,
Me nahis kama kuna sababu hivi behind the scene,,mana asingeweza tu kumpakizia mama kifo chake bila sababuKabisa
Lazima kuna sababu. Ila kama ni sababu ya aibu au jinai ambayo mama hawezi kuisema haitojulikana iwapo ni muhusika.Me nahis kama kuna sababu hivi behind the scene,,mana asingeweza tu kumpakizia mama kifo chake bila sababu
Jamaa mpumbavu tu.Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Hata mama anaweza kuwa wa kusingizia pia kama ilivyo kwa baba katika sura zifuatazo:Hakuna kitu kibaya kama mama yako kua source ya matatizo. Maana huwezi kumchukia wala kumbadirisha. Angalau baba mtaonyeshana umwamba. Baba anaweza kua yoyote ila mama hua ni mmoja pekee, ndio maan hakuna mwanamke aliyesingiziwa mtoto
...ya kuendea gest..!Mama alimnyima hela ya kuendea guest. Mitoto ya siku hizi akili zao ziko visiginoni
Mleta uzi emb tueleze, baada ya mama'ke kuulizwa kama ujumbe ulivyoagiza, alijibu nini?Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Tutaamini vipi kama hii hati ya muandiko ni ya ndugu marehemu?Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Hapana bana alikua hasomi ni kijana na mishe zake sema alikua na mkono mrefu na alijinyonga asbh maiti imegunduliwa saa6 kasoro mchana na alijinyongea chumba cha nje ambacho kilikua hakikai mtu.Nahisi kuna kosa kwenye umri,hii nimesikia jioni hii,ni dogo alikuwa bado anasoma
Nilitaka kuuliza hili,hivi kisheria hili lipoje?mama yupo hatiani ?kizazi hichi tuwe makini kuwakemea ni kizazi laini sana kujitundika ni dakikaKijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Kijana Godson Mbwambo (30) mkazi wa Pasua Matindigani Mjini Moshi amefariki dunia kwa kujinyonga na kuacha ujumbe unaosemekana aliuandika ukutani akieleza sababu za kifo chake wakuulizwa ni mama yake. Mwenyekiti wa Mtaa wa Matindigani, Amosi Chibago ameeleza tukio hilo.
View attachment 2535103
Sheria ni inakata pande zote mbiliHaya mambo haya
Mtu anajitia kitanzi alafu ukutani anaandika jina lako [emoji15] na kweli pira linakufuata duh
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Hatari sana hii
Hawa wanaojiua na wanaopanga kujiua ni vyema waambiwe kabisa visms vyao watakavyoacha vitapuuzwa
Wapo wazazi mafedhuli na mabaradhuli shwainHakuna mzazi ambaye anaweza mpa mwanae shida lah ila kuna misingi mzazi ukisimamia mtoto wa sikuizi anaona ananyanyaswa
Msala gani? Si anasema hajui kitu? Kwani shida nini kusema hajui?Duh aiseee kamuachia Mama ake msala mzito
Mkuu hii ni hatare sana.Hakuna kitu kibaya kama mama yako kua source ya matatizo. Maana huwezi kumchukia wala kumbadirisha. Angalau baba mtaonyeshana umwamba. Baba anaweza kua yoyote ila mama hua ni mmoja pekee, ndio maan hakuna mwanamke aliyesingiziwa mtoto
Kwa akili yako hii no wonder uko lonely...Mama anafanywa chochote kile akizingua kama mshua tu...Nenda ukuryani huk uone watu wanavyochapa mama zao viboko.Hakuna kitu kibaya kama mama yako kua source ya matatizo. Maana huwezi kumchukia wala kumbadirisha. Angalau baba mtaonyeshana umwamba. Baba anaweza kua yoyote ila mama hua ni mmoja pekee, ndio maan hakuna mwanamke aliyesingiziwa mtoto
Uko sahihi mkuu..hiv sijui kwann watu wanawachukuliaga mama zao kama malaika!!??Hata mama anaweza kuwa wa kusingizia pia kama ilivyo kwa baba katika sura zifuatazo:
Kununua mtoto kwa kuiba, ama kubadilishiwa na manesi wakati wa kujifungua nk nk.
Kwa hiyo figisu za mzazi yupi ni halali kwako, zipo pande zote.