Kijana ajinyonga, aacha ujumbe mama yake aulizwe

Dah mama ana mtihani
Mtiani mwepesi, kijana kakosea angeacha sababu yote iliyompelekea kufanya hivyo.

jibu lolote atakalotoa mama kujitetea marehemu hawezi likataa. Hata akisema "nilimkataza tabia ya kuomba omba nikamwambia hizo ni tabia za kike mm sitaki posa" nani atakataa kuwa sivyo ilivyokuwa?
 
Mama kasema huyo alikuwa n vijana wale wa kataa ndoa akamuonya ndo kajinyonga dunia hii 😫😫😫😫
 
Ushangae aliba utelezi Kwa mama yake
 
Si nasema alitaka kuuza nyumba yangu ili ahame nyumbani πŸ˜€
 
Ila hili tukio linafikirisha kidogo,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…