Town Hustler
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 277
- 367
- Thread starter
-
- #141
Alitenda tukio wakati dish linayumbaNafikiri siyo lazima kila kitu tuilaumu Serikali, kwa waliona video ya tukio zima toka mwanzo, jamaa alipigwa sana na waumini wenzie hasa wale wanaovaa masuruali yanayoishia ugokoni wataniwa waiitwa 4Wheel alipigwa hasa kila sehemu ya mwili kwa kutumia ngumi, mateke, viatu na kila kilichokuwa karibu. Kuna madai kuwa kuna mtu alisema kuwa jamaa ni kafir hivyo watu wakapandwa na hasira. Ikumbukwe mzee Mwinyi alikuwa kipenzi cha wengi hivyo kwa kumpiga jamaa alivuna alichopanda.
Kasoma Ilboru 2000----2004[emoji46][emoji47][emoji47][emoji47]
kumbe jamaa alikuwa kichwa kiasi cha kusoma ilboru duuh.
Kweli usimdharau usiyemjua
2017Mwaka gani mlimaliza?
Kwani hii coment mmeshirikiana wangapi kuiandika mpaka iwe na uwingi?Hana kazi na sisi
Tukio ni la 2009 au 2010 hivi.......Asante kwa taarifa mkuu. Ninaona wengi wanauliza Mzee alinaswa lini kibao. Ni wazi umeshapita muda mrefu kiasi baadhi ya watu hapa walikuwa hawajazaliwa, au walikuwa wadogo sana.
Poleni kwa msiba hapo mabibo na jamii yote mliguswa na msiba huu
Mimi na wwKwani hii coment mmeshirikiana wangapi kuiandika mpaka iwe na uwingi?
unamaanisha 2007 au? Maana 2017 alikuwa keshafanya hilo tukio2017
Ila si umeelewa......Si aliyempiga makofi ni aliyemshambulia rais mwinyi
Waungwana
Yule kijana aitwaye Ibrahim Said almaarufu Sultan mkazi wa Mabibo Loyola amefariki dunia asubuhi hii
Marehemu alijipatia umaarufu kutokana na kitendo chake cha kumchapa kibao mzee Mwinyi kwa kitendo cha kuhimiza sijui matumizi ya kondomu ambayo ni kinyume na imani ya Kiislamu
Ndo tunajiandaa kwa mazishi mchana huu
Sorry I meant 2007!!!unamaanisha 2007 au? Maana 2017 alikuwa keshafanya hilo tukio
Si suala kuelewa, ni suala la uandishi. Huko shule sijui hua mnasomea nini?Ila si umeelewa......
Ila Primary alikuwa mkimya na mpoleYule misimamo ya dini ilimharibu, Answari Sunn hata wakati anasoma alikuwa anapenda kupigana sana karate, kuwachukia wasiopenda misimamo yake
Ubao,chaki, peni,kitabu na daftariSi suala kuelewa, ni suala la uandishi. Huko shule sijui hua mnasomea nini?
Haidhuru, nimeshafamu namna ya akili yako ilivyo na uwezo wake wa kufahamu masuala.Ubao,chaki, peni,kitabu na daftari
Sawa msomiHaidhuru, nimeshafamu namna ya akili yako ilivyo na uwezo wake wa kufahamu masuala.