Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sigara kubwa changana na chantingAlikiwa kichwa ila mwisho wa siku akawa chizi
Maisha haya .......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sigara kubwa changana na chantingAlikiwa kichwa ila mwisho wa siku akawa chizi
Maisha haya .......
Kota zilikuwa za NHCNimewahi kuishi mitaa hiyo kwenye quarters za JWTZ nimecheza mpira hapo Umoja timu yetu Small Boys na wapinzani wetu Mguu Shingoni
Hakuwa mvutaji mkuu .....Sigara kubwa changana na chanting
Yes ,NHC waliuza zile nyumba na majority walionunua ni wanajeshiKota zilikuwa za NHC
JWTZ walikuwa waoangaji tu
Now wajeda wastaafu wamefulia wameanza kuziuza kwa raiaYes ,NHC waliuza zile nyumba na majority walionunua ni wanajeshi
Tulisoma wote Umoja Primary School Mabibo
O level kasoma Ilboru
A level kasoma PCM Tabora Boys
Baada ya hapo matatizo yakaanza
Tatizo lilianza alipofaulu kwenda tabora inasemekana waliyumbisha dish lake kishirikinaSijui mkuu.......
duh, kumbe jamaa alisoma
mi nilidhani ni mtu fulani ambaye hakua amesoma
hahaha ,kweli aisee wasomi wetu wengi chengaNdio maana hata wasomi wetu tunaowategemea hukooooo baadhi yao zimefyatuka.
Ndicho nilichosikiagaTatizo lilianza alipofaulu kwenda tabora inasemekana waliyumbisha dish lake kishirikina
Chizi haponi hutuliza mzuka tu......OMG, so sad. Mental illiness inatibika
Mkuu nadhani IFM alisoma 2007-2009 hakumaliiza dish liliyumba ndipo akatenda tukioAlikuwa na nguvu sana, mwaka 2012 wakati anasoma IFM, pale ocean road alivua nguo zote akaanza kuwaga maji pipa zima. Members wakamfunga kamba wakampeleka muhimbili.
Muda mwingi alikuwa anapenda kucheka cheka. Na kutoa salamu (kukusalimia) mara kwa mara ndani ya siku 1
Upo sahihi mkuu....Kama ilivyosemeka humo Youtube,inaonyesha ilikua mwaka 2009, Miaka 10 iliyopita
wakati ana mnasa mwinyi kofi... Alikuwa amedata!?Hakumaliza
Dissh lilishayumba
Sababu hasaa iliyopelekea kupatwa na kichaa ni nini?Mkuu nadhani IFM alisoma 2007-2009 hakumaliiza dish liliyumba ndipo akatenda tukio
2012 na miaka mingine uliyokiea ukimwona alikuwa tayari chizi na hapo IFM alikuwa anakuja kuzrura
Ndio mkuuKumbe
wakati ana mnasa mwinyi kofi... Alikuwa amedata!?
Soma hapo juu post # 192Duh!!!
Sababu hasaa iliyopelekea kupatwa na kichaa ni nini?
Soma gapo juu post # 192