Yule huwa hapendi watu wanaomzidi umaarufu,ukishapata umaarufu we ni adui yakeDkt. Gwajima D nakupa maua yako [emoji322][emoji322][emoji322][emoji322][emoji322][emoji322][emoji322] japo kuna bibi mmoja kutwa anakufatilia nakushauri usimjibu..
Ni mshamba mshamba tu huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui kwanini..Yule huwa hapendi watu wanaomzidi umaarufu,ukishapata umaarufu we ni adui yake
Namwoaje,,aliondoka akaenda home ambako ndo tunakotokea, akaolewa, akarudi nilikokuwa akaanza life na mshikaj, hapo hapo town.na niliyesababisha akaujua mji ni mie..dadadadekiiiiiiDuuh,na haukufanikiwa kumuoa mkuu? Em jazia nyama kidogo! Pole sana mkuu Ighughuyi
Ukisema wa nini wenzako wanasema "tutampata lini?".Aaaah hata ingekuwa wewe unaolewaje na mwanaume wa vile🤣🤣🤣
Kachachuka balaa🙆
Anashida yule mi nishamgunduaSijui kwanini..
An anakua anatafuta kiki kwa kuwa against na watu...
Nilijua mjanja ila sasa namuona ni limbukeni aiseee
Mheshimiwa wazili,japo huenda ikawa ni ndogo, lakini ukweli ni kwamba uelewa sahihi wa neno ukatili,inaonekana wengi hawana.Kwani tangu wanakuja na posa na mahari tulikuwa hatujamjua? Hadi hatua ya mwisho? Si kumkatili mtu hisia zake huko? Si Naye ndugu anao? Ya kazi Gani kujenga uhasama? Mnakataa posa na magari mapema tu. Hivi vitu ndiyo mwisho wa siku vinyongo na kuishia ukatili tunabaki na Yatima na walemavu
Aysee! Maisha yana mambo mengi sanaNamwoaje,,aliondoka akaenda home ambako ndo tunakotokea, akaolewa, akarudi nilikokuwa akaanza life na mshikaj, hapo hapo town.na niliyesababisha akaujua mji ni mie..dadadadekiiiiii
Boss hiv una ushahidi gani kama jamaa alilewa chakali, Ulikuwa nae? wew ni mjomba wa mwanamke? Ni wivu na roho mbaya inakusumbua? au unafuraha kwa kuachwa kwa mwanaume mwenzako kwenye siku yake muhimu kama ile?Huyo alisha tambua kosa alilolifanya,ndio maana akawa mpole,hakuna cha busara hapo bali alitambua kosa lake,
Mtu mwenye akili timamu hata kama hua ni mlevi,ila hawezi kulewa chakari siku ya tukio kama hilo,hiyo ni dalili ya dharau kubwa sana kwa pande zote pamoja na wageni waalikwa,huyo mlevi alistahili kutandikwa viboko kwa kuiaibisha familia.
Kwavile umetumia lugha ya kipumbavu dhidi yangu,ngoja niende na wewe kama ulivyokuja,Boss hiv una ushahidi gani kama jamaa alilewa chakali, Ulikuwa nae? wew ni mjomba wa mwanamke? Ni wivu na roho mbaya inakusumbua? au unafuraha kwa kuachwa kwa mwanaume mwenzako kwenye siku yake muhimu kama ile?
Mapito yeyote anayopitia mwanaume mwenzako kwenye maisha basi kwa 80% yanajirudia kwa wanaume wengine wengi. Wote tunapita njia moja hivyo yatupasa tuwe watulivu kwenye nyakati ngumu kama hizo pasipo kuleta maafa kwa watu wengine.
Tayari ushakurupuka 😆😆😆😆😆 hivyo.Sikurupuki nachukua among my michepuko
Yule anachotaka atakipataAnashida yule mi nishamgundua
Naona pisi kali umekuja na michambo😎 vip unataka vocha?Kwavile umetumia lugha ya kipumbavu dhidi yangu,ngoja niende na wewe kama ulivyokuja,
Sikiliza binti,umeusoma uzi lakini au umekurupuka tu kutoka usingizini? Huoni kua uzi umesema kua huyo mlevi mwenzako alilewa chakari siku ya send off?
Wewe ndio umeona wivu sio mimi,ulitamani wewe ndio uwe huyo binti aliyekosa ndoa.
Vocha nimeshampa mamako atakuletea akitoka hapa kwangu.Naona pisi kali umekuja na michambo😎 vip unataka vocha?
Fungua Pm nikutumieVocha nimeshampa mamako atakuletea akitoka hapa kwangu.
Niletee kalio nilitafune.Fungua Pm nikutumie