Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
Huyo mlevi hajadhibiti hasira zozote hapo coz ametambua kosa alilolifanya,hata hao jamaa zake itakua waliondoka kwa fedheha kubwa sana huko ukweni,
Unakutwa na kosa ambalo na wewe unajua kua hili ni kosa umefanya,hizo hasira za kutaka kulipa kisasi zinatoka wapi?
Mtu aliyelelewa kwenye maadili mema au anayetoka kwenye familia inayojitambua,hawezi kwenda kwenye send off akiwa kalewa chakari,
Root cause ya yote hayo ni jamaa kwenda akiwa kalewa chakari full sto
Tuchukulie maoni yako yako sahihi, je baada ya pombe kwisha? Mbona sasa inawezekana kumbe kutawala hasira kisa aibu? Ingekuwa hivyo je hawa wanaozomewa kabisa kwa kosa moja na kesho wanafanya hilo hilo huwa inakuwaje? Eti...