MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Mimi nimemkubali jamaa kwakuwathamini masela waliochanga na kuwapigisha misosi km ndoa ipo vile hapa nimemsifu sana jamaa badala ya kujali yeye na mkewe aliekimbia,kwa hili hata mimi nampatia zawadi ya nyota 5Yule mwamba aliyenyimwa mke siku ya harusi kwa kisingizio cha kwenda kwenye send off akiwa chakari,amepewa tuzo.
Amepewa tuzo ya mwanaume bora wa mwaka na waziri Doroth Gwajima
Kwa kweli jamaa anastahiki tuzo kweli maana mimi mwanamke anikatae siku ya harusi nyumba yao ningeichoma moto
Hongera sana kwako mheshimiwa waziri
Hii sio ccm....ni Gwajima kama Gwajima.Kumbe kuna mda ccm mnakuaga na akili.
Kuweni na hurumaAaaah hata ingekuwa wewe unaolewaje na mwanaume wa vile🤣🤣🤣
Kachachuka balaa🙆
Ndio hvyo kashalambaa tuzo sasaa 😅😅😅 na mwanamke aliyekimbia kaonekana fala na mwanamke mwenziee mpk anenda mpa mume km yule tuzo 🤪🤪Aaaah hata ingekuwa wewe unaolewaje na mwanaume wa vile🤣🤣🤣
Kachachuka balaa🙆
Angefanya ukatili kwa hasira wote mngekuja na maoni mengine hapa.Ndio hvyo kashalambaa tuzo sasaa 😅😅😅 na mwanamke aliyekimbia kaonekana fala na mwanamke mwenziee mpk anenda mpa mume km yule tuzo 🤪🤪
Muheshimiwa cjui km ndio mkwe wake yule anachachuka vile ,hv angemwozesha binti yake 😅😅
Alitambua kosa lake la kwenda kwenye send off akiwa kalewa chakari ndio maana akawa mpole.Angefanya ukatili kwa hasira wote mngekuja na maoni mengine hapa.
Heri wewe umesema, wengine wanaweza wasione ukubwa wa tatizo ambalo lingeibuka paleYule mwamba aliyenyimwa mke siku ya harusi kwa kisingizio cha kwenda kwenye send off akiwa chakari,amepewa tuzo.
Amepewa tuzo ya mwanaume bora wa mwaka na waziri Doroth Gwajima
Kwa kweli jamaa anastahiki tuzo kweli maana mimi mwanamke anikatae siku ya harusi nyumba yao ningeichoma moto
Hongera sana kwako mheshimiwa waziri
Wewe ndio huyo bint aliyetaka kuolewa na huyo mlevi?Yuko sahihi
Muheshimu Bado hapo ujaokoa jahazi ,watu wapewe elimu ya kijinsia Kwa nguvu kubwa sana kwanzia hata chekechea na si tuzo inayomfikia mtu mmoja aliyoko uko bariadi ,,lkn elimu ikiwekwa mashulen itawafikia wengi sana km SoMo la hesabu jinsi linavyofundishwa mashulen na wtt wanakuwa wakijua hesabu na kuishi nayo ktk maisha🏃🏃Angefanya ukatili kwa hasira wote mngekuja na maoni mengine hapa.
Your are rightWewe ndio huyo bint aliyetaka kuolewa na huyo mlevi?
Mungu akubariki sana ndugu Dkt. Gwajima D .Kweli kabisa ndugu yangu. Kitu alichofanyiwa ingekuwa wengine wale wanaotawaliwa na hasira, hekima haipo, mtakubaliana nami kuwa Leo tungekuwa tuna stori ingine.
Tunapoisihi jamii kuepuka ukatili wa kijinsia na walau mmoja akaishinda hasira kwa hekima, inapendeza Sana kumtia moyo na kutambua hekima yake. Huenda ikawa chachu ya mabadiliko kwa wengine 🙏🏽
Kwani tangu wanakuja na posa na mahari tulikuwa hatujamjua? Hadi hatua ya mwisho? Si kumkatili mtu hisia zake huko? Si Naye ndugu anao? Ya kazi Gani kujenga uhasama? Mnakataa posa na magari mapema tu. Hivi vitu ndiyo mwisho wa siku vinyongo na kuishia ukatili tunabaki na Yatima na walemavuEmbu tuseme angekuwa binti wa muheshimiwa mkuu angweza kumuozesha mwanae Kwa ammada km yule😅
😀 Afanyeje sasaKilichonichekesha alikua anacheza wimbo unaimba
"Kama kupendaaa bora nimpende mama yangu🎶
Bora niinjoy🎶
Maisha mafupi🎶🎶
Bora niinjoy
Cyo yy n pombe na Kuna muda akatoka njee kuvuta sigara😅😅😅😅😅😅😅Kilichonichekesha alikua anacheza wimbo unaimba
"Kama kupendaaa bora nimpende mama yangu🎶
Bora niinjoy🎶
Maisha mafupi🎶🎶
Bora niinjoy
Pamoja na maoni yako, naomba niulize, je hapo kwenye mtaa wako unaifahamu kamati ya ulinzi wa wanawake na watoto? Unawajua wawakilishi wa jamii kutoka miongoni mwa wakazi wa mtaa au Kijiji chako? Nijibu tafadhaliMuheshimu Bado hapo ujaokoa jahazi ,watu wapewe elimu ya kijinsia Kwa nguvu kubwa sana kwanzia hata chekechea na si tuzo inayomfikia mtu mmoja aliyoko uko bariadi ,,lkn elimu ikiwekwa mashulen itawafikia wengi sana km SoMo la hesabu jinsi linavyofundishwa mashulen na wtt wanakuwa wakijua hesabu na kuishi nayo ktk maisha🏃🏃
Kazi iendelee
Waziri pumzika ..lala kesho ofisini ni muda wetu jobless .😀 Afanyeje sasa
😀Usiku mwema mzalendo🙏🏽Waziri pumzika ..lala kesho ofisini ni muda wetu jobless .