Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Wahi mirembe upewe cheti chako🤣Kataa ndoa. Ndoa ni utapeli mamboleo. Hongera sana Dkt. Gwajima D kwa kuwa upande wetu wakataa ndoa. Mungu akubariki sana.
Hakuna mzazi atavumilia hiyo dharau. Unamkabidhi binti kwa mlevi? Serious? Kalewa chakari? Hata kuheshimu tu hiyo siku moja muhimu imeshindikana? Kama ni wazazi wameshinikiza Walikuwa sahihi kabisa. Kama wanapendana sana wakafunge ndoa bila hizi taratibu za sendoff.Nina uhakika swala la ulevi wa huyo jamaa sio kama mwanamke alikuwa halijui,na sio kwamba hiyo siku ya sendoff ilikuwa ni mara ya kwanza kumuona akiwa kalewa,ila inaonekana ni wapambe,either ndugu,wazazi au wanafamilia wamejaza upepo ukamuingia na yeye kwa aibu kaamua kumtema jamaa,ila huko anakoenda pia asifikiri ndio anaenda mahali salama,inaweza kuwa ni ile jumping from frying pan to fire...
Kulewa siku ya sendoff haikuwa jambo zuri,lakini huyo mwanamke hakupaswa kufanya alichokifanya.Huo ni mtihani tu katika mahusiano,kuna mengi zaidi na mabaya yatakuja kutokea mtakapokuwa tayari kwenye ndoa na yanahitaji kusamehe na kusuluhishana,sio kila likitokea baya unaamua kuvunja uhusiano...Kwahiyo huyo jamaa alikua sahihi kwenda kwenye send off huku akiwa kalewa chakari?
Tatizo hii issue,wengi mnaiangalia kwa upande mmoja tu,hata kama alikua ni mlevi,je ilikua ni busara kulewa chakari kwenye siku kama hiyo? Mbele ya familia ya mke mtarajiwa?
Tumpe ushuhuda ana hali gani huyoKususwa au kuachwa kunauma jamani duh!!! Nakumbuka nakaribia kwenda kujitambulisha ukweni ndo mchumba hataki kuongea nami kila KITU ni kigumu , halafu muda mwingine Nakula blacklist, niliumia sana aseeee.unaweza ua,,, ila hiii Dunia Ina watu wapole sana
Pongezi Mh. Waziri kwa kushiriki mijadala bila kuingia mitini na bila kujazibika.Hatutoi tuzo kwa walevi, hiyo ni content yako wewe. Sisi tunatoa ya "...bila jazba inawezekana"
Wewe hiyo content ingine yako tu ndugu yangu sisi huko hatupo. Uwe na asubuhi njema.
Pombe imesajiliwa na inalipiwa kodi toa ulokole hapa🤣Matukio ya ukatili yapo na ndo kazi mnayopambana nayo na kwa hilo Hongereni mno.
Lakini kumpa tuzo mlevi kwa sababu hajafanya ukatili naona haipo sawa. Ni sawa na kusema tumpe zawadi dereva mlevi kwa kuendesha gari akiwa amelewa na kulifikisha salama.
Kila kitu kina matokeo yake. Hata wewe ukilewa siku ya interview unaweka rehani ajira yako. Huyo kijana alipaswa kuwaheshimu wazazi wa binti. Hakuwaheshimu, wakaamua hivyo na binti yao akawasapoti. Ukumbuke Sherehe huwa ni za wazazi.Kulewa siku ya sendoff haikuwa jambo zuri,lakini huyo mwanamke hakupaswa kufanya alichokifanya.Huo ni mtihani tu katika mahusiano,kuna mengi zaidi na mabaya yatakuja kutokea mtakapokuwa tayari kwenye ndoa na yanahitaji kusamehe na kusuluhishana,sio kila likitokea baya unaamua kuvunja uhusiano...
Huwa sipendi uchawa lkn mama yuko poa sana.Pongezi Mh. Waziri kwa kushiriki mijadala bila kuingia mitini na bila kujazibika.
Hili swali nikiliongelea kwa misingi ya imani ya dini yangu,Swali lingine kwako hili ndugu; huku kwenye ndoa tunaona watu wakiwa wanalewa huko hadi wanabebana na wake zao na waume zao. Unashaurije? Waachane?
Mm natumia Pombe. Nakunywa Camino dry au Absolute. Ila siku namkabidhi binti yangu halafu aniletee kijana kalewa eti nimkabidhi watafanya sherehe ya ndoa kwenye ofisi za serikali za mitaa ili wapewe na tuzo kabisa huko huko.Pombe imesajiliwa na inalipiwa kodi toa ulokole hapa🤣
Yes. Nakubaliana na wewe kabisa Mh Waziri. Haya ni mambo mawili tofauti ambayo hayapaswi kuchanganywa.Hujambo? Swali zuri. Sasa kuna muktadha mbalimbali wa kuangalia jambo unalotaka kwenda nalo; kwa hapa tumeangalia reaction yake mbele ya wageni wake baada ya kuona yamekuwa hayo, je alibaki mtulivu? Maana mtihani wengi wa utulivu umewashinda wengi wako jela huko na wametuachia majeruhi, Yatima na hata vifo.
Hayo ya aliendaje hapo na tabia zake zikoje, nadhani hizo pande mbili zilipaswa kuchunguzana vema kabla ya kufikia hatua hiyo na kote huko wasingefika.
Ndoa ni utapeli mamboleo. Alaaniwe sana aliyeanzisha haya masuala ya ndoa hapa duniani.Wahi mirembe upewe cheti chako🤣
Juzi tu mke wangu kanifata nikiwa chakari nimeshindwa kuendesha gari ikabidi nimpigie aje nilipo. Hoja hapa si matumizi ya pombe, hoja ni Tuzo baada ya matumizi ya pombe sehemu isiyo sahihi.Swali lingine kwako hili ndugu; huku kwenye ndoa tunaona watu wakiwa wanalewa huko hadi wanabebana na wake zao na waume zao. Unashaurije? Waachane?
Good questionJuzi tu mke wangu kanifata nikiwa chakari nimeshindwa kuendesha gari ikabidi nimpigie aje nilipo. Hoja hapa si matumizi ya pombe, hoja ni Tuzo baada ya matumizi ya pombe sehemu isiyo sahihi.
Nikuulize, hapo wizarani kijana aje kwenye mkutano maalumu na mh Raisi wa Jamhuri ya muungano akiwa amelewa raisi akamfukuza kazi utampa tuzo sababu hakuchana mafile wakati anaondoka?
Juzi tu mke wangu kanifata nikiwa chakari nimeshindwa kuendesha gari ikabidi nimpigie aje nilipo. Hoja hapa si matumizi ya pombe, hoja ni Tuzo baada ya matumizi ya pombe sehemu isiyo sahihi.
Nikuulize, hapo wizarani kijana aje kwenye mkutano maalumu na mh Raisi wa Jamhuri ya muungano akiwa amelewa raisi akamfukuza kazi utampa tuzo sababu hakuchana mafile wakati anaondoka?